mludego
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,597
- 3,565
Hivi jamaa ameenda leo kanisani kweli?Waziri mkuu ameshajibu, nachotaka ni nini? Anataka tuingie kwenye machafuko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi jamaa ameenda leo kanisani kweli?Waziri mkuu ameshajibu, nachotaka ni nini? Anataka tuingie kwenye machafuko?
ndio, chamwinoHivi jamaa ameenda leo kanisani kweli?
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Haku hutubia kama ilivyo ada?ndio, chamwino
ukitakiwa utapatikana tu, si unajifanyaga usalama wewe. unadanganya wajinga wenzio sasa utashughulikuwa ukiendelea..... yule demu wa umu wa kinodnoni ndio kakuuza hahaahhaahahHahaha sikutegemea comment ya design hii hata kidogo, unaongea kama vile unanifahamu. Kadri ninavyofuatilia machangizo yako hapa, naona huna hoja zaidi ya kujibu kama vile upo kwenye kirabu cha pombe ukibishana na walevi wenzako.
All in all mambo ya live band siko interested nayo, Sasa sijui unaongelea live band gani!!
Mimi ni raia tu wakawaida mwenye majukumu ya kuhakikisha familia yangu na mimi mwenyewe tunaishi accordingly as human beings. Sasa unapoongelea niache ushamba sijui umelenga nini, this isnull and void argument.
Code yako sina haja nayo, na nipo tayari huko unakosema kushugurikiwa, Ila nakuonya
Huyu kama ni binti hajavunja ungo.maria sarungi pesa za mabeberu zitamtokea puani jinai haifi.
Huna akili.Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Hana uwezo wa kukujibu hilo swali, abadani!!Tuingie kwenye machafuko kwa sababu zipi??
Pumbavu zako.Waziri mkuu ameshajibu, nachotaka ni nini? Anataka tuingie kwenye machafuko?
hizi ni stress za maisha, mkuu usijali mambo yatakukalia sawa tuHuna akili.
Pumbavu
Huu upumbavu wapelekee wapumbavu wenzio. Fedha ya Umma mnaifanya fedha ya CCM? Tangu lini CCM imetoa hela kusomesha watoto wa Sarungi? Imewanyima nafasi watoto wa Nyerere itakuwa wa Sarungi?Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
mzee sarungi mpigaji tunamjua, pesa yetu ya meremeta ataitapikaHuu upumbavu wapelekee wapumbavu wenzio. Fedha ya Umma mnaifanya fedha ya CCM? Tangu lini CCM imetoa hela kusomesha watoto wa Sarungi? Imewanyima nafasi watoto wa Nyerere itakuwa wa Sarungi?
Yaan hii nchi bana,Ndomaana CCM inaonekana kuwa na watu wajinga. Sasa kwakosa gani? Kuhoji alipo Rais?
Kwahi hata wewe hutamani kumuona Rais?
Shithole kabisa nyie viumbe
si mlishajibiwa na PM au mnataka kumpindua rais? mtapigwa mchakae ngosha harembiYaan hii nchi bana,
Hivi mtu kuulizia aliko Rais wake ni kosa??
Wote ni mashahidi wewe na nani?Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
PM kajibu lini?si mlishajibiwa na PM au mnataka kumpindua rais? mtapigwa mchakae ngosha harembi
haya maswali ni ya kitoto sana majibu yake yote ingia page ya maria sarungi kibaraka wa wazungu.PM kajibu lini?
Na Maria Sarungi akaandika lini?
Na Kaandika nini?
Inakubalika ki katiba , siyo kosa kisheria kuikosoa serikaliAnakosoa serikali