matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
-
- #21
HatareeNoma sana!
Sijawahi kwenda kwenye kitchen party, hata sijui how it looks like, na wakati wa harusi yangu zaidi ya send off, sikufanyiwa kitchen party aisee my mom aliniambia malezi niliyokulea ni kitchen party tosha mwanangu ikabidi niwe tu mpoleWakuu hii kitu miaka ya 90 sikuwahi kuisikia. Sijui imetokea nchi gani.
Sioni kama wanafundishana mambo ya maana zaidi ya ukahaba na kuvizia vijizawadi.
Mwaka 2004 nimewahi kuzamia kitchen party ya walimu wangu kwa kujificha aisee walikuwa wanamfundisha yule Mwalimu mwenzao uhuni na ukahaba, sikuona kama ni mambo ya ndoa pale.
Pili washabiki wa hizi kitu ni wanawake walioachika, wasimbe wasio na mpango wa kuolewa, wanawake wanaotawala waume zao wasiofugika au kuonyeka. Watu kwenye maadili hawaungi Mkono kabisa hii kitu.
Juzi nikiwa mahala flank nawasikia Kikundi cha wakina mama wanaajipanga kuvaa robo tatu uchi kwenye kitchen party ila itabidi waondoke na madera home ili waume wao wasijue.
Kuna bibi wa heshima na maana sana lakini kumbe huwa anavua vinguo hadi kubaki na nguo ya ndani akiruka sarakasi kwenye hizo party, jimama moja linakatikia chupa hadi inazama nusu sirini.
Haya ni mafunzo ya zinaa na uasherati.
Nashauri kitchen I party zifutwe alafu hayo mambo mwanamke afundishwe na mama au Ndugu sake sirini tens kwa adabu.
Uko vzr Mkuu.Sijawahi kwenda kwenye kitchen party, hata sijui how it looks like, na wakati wa harusi yangu zaidi ya send off, sikufanyiwa kitchen party aisee my mom aliniambia malezi niliyokulea ni kitchen party tosha mwanangu ikabidi niwe tu mpole
Sasa Mkuu kwanini ulienda kufanya huu utafiti peke yako?mi kichwa uwa kinauma sana,ungenipitia kidogo kingekaa sawa,ningeangaliaaaaa tu weeeeee ningeliondoka zangu kimya nimeponaWakuu hii kitu miaka ya 90 sikuwahi kuisikia. Sijui imetokea nchi gani.
Sioni kama wanafundishana mambo ya maana zaidi ya ukahaba na kuvizia vijizawadi.
Mwaka 2004 nimewahi kuzamia kitchen party ya walimu wangu kwa kujificha aisee walikuwa wanamfundisha yule Mwalimu mwenzao uhuni na ukahaba, sikuona kama ni mambo ya ndoa pale.
Pili washabiki wa hizi kitu ni wanawake walioachika, wasimbe wasio na mpango wa kuolewa, wanawake wanaotawala waume zao wasiofugika au kuonyeka. Watu kwenye maadili hawaungi Mkono kabisa hii kitu.
Juzi nikiwa mahala flank nawasikia Kikundi cha wakina mama wanaajipanga kuvaa robo tatu uchi kwenye kitchen party ila itabidi waondoke na madera home ili waume wao wasijue.
Kuna bibi wa heshima na maana sana lakini kumbe huwa anavua vinguo hadi kubaki na nguo ya ndani akiruka sarakasi kwenye hizo party, jimama moja linakatikia chupa hadi inazama nusu sirini.
Haya ni mafunzo ya zinaa na uasherati.
Nashauri kitchen I party zifutwe alafu hayo mambo mwanamke afundishwe na mama au Ndugu sake sirini tens kwa adabu.
Acha upuuzj wewe. Mwenzako anakemea umomonyofu wa maadili wewe unaleta mizaha pumbavu wewe....Wewe mwanaume hayo mambo yakike yanakuhusu nini.
Mkuu nimependa na kulichukua neno "UMOMONYOFU".Acha upuuzj wewe. Mwenzako anakemea umomonyofu wa maadili wewe unaleta mizaha pumbavu wewe....
Kitchen party wanaume inawahusuje...?!Basi angalau kuwe na kitchen party ya wanaume