Kwanini Serikalini watu wenye akili za kulisaidia Taifa hawadumu?

Kwanini Serikalini watu wenye akili za kulisaidia Taifa hawadumu?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Serikalini watu wasiopenda rushwa, wanaoona mbali na wenye uzalendo awadumu. Moja ya chanzo amekieleza Mh. Mchengelwa kwamba wanaopata madaraka hawana akili kubwa na hivyo wanaogopa wenye akili kubwa.

Jambo la pili wenye akili kubwa siku zote wanataka kufika mbali na ili wafike mbali lazima waogope rushwa na matendo yaliyo kinyume na maadili.

Lakini swali lakujiuliza, kama serikali inapiga vita wenye akili itapigaje vita maradhi na umaskini? Haiwezekani wenye akili wakapatikana kwa kufanya usahili kama Kenya? Kenya kama wewe ni mbulula huwezi kuteuliwa popote mwenye utumishi wa umma. Sisi kwetu kwanini tunategemea vetting za siri zinazozalisha wasio na akili na kuwapa nafasi?
 
Babuuu , unajua Afrikaz hasahasa Tanzania, tuna lundo la watu ambao ni viongozi ,na watu Hawa wanapata Uongozi Kwa kuutafuta Kwa nguvu sanaaa kuvua chupi, kuhonga, michongo, kujuana n.k..watu Hawa kihalisia Huwa ni maboga tu vichwan weupe peee peee

Wanafanikiws kua Viongozi, mnadhan watatengeneza Cycle ya watu wa aina gan?.

Mchek Sa100, anauwezo Mdogo kwelikweli wa akili, ila ndo Ivo Mkuu wa kaya, haya jiulize, Wanakaya wake ni wa aina gan?.


Mimi naililia tu DOLA... Dola iliamua Serikali itawaliwe na CCM, wakati huohuo inashindwa kuisimamia CCM kufanya kile kinachotakiwa Kwa ajili ya Maendeleo ya Nchi .

matokeo yake, Nchi imeongwa na watu wajinga, wapumbavuuu.

Et Bichwa kubwa naye ni Kiongozi , Marope Kipara , Hawa ni mabichwa maji majii !!.


alafu hapohapo, Mtu kama MPINA, anapigwa vita kwelikweli.
 
Back
Top Bottom