johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Range Rover marufuku BoTNi rahisi sana kupiga picha nje ya Ikulu ya white house ila bongo hata kwenye mabasi ya mwendo kasi wanazuia.
Kama kuna jambo ambalo linaweza kukuza utalii wa ndani na nje ni kupiga picha kwenye iconic premises kama daraja; unaweza kukuta sheria za marufuku ziliwekwa wakati wa Nyerere wakati wa vuguvugu la ukombozi wa kusini mwa bara la Afrika ila mpaka leo akili za wafanya maamuzi wanachojua ni "marufuku"
So kwa kuwa umelipa kodi ndio urugusiwe kufanya kila unachotaka?Kwanini tulipe Kodi lakini kupiga picha ya kitu kinachojengwa na Kodi zetu tunakataliwa? Wanafjchanini?
Dunia ya sasahivi sikweliRange Rover marufuku BoT
Dah! Wabongo bhana. Hivi wewe ukinikuta ninaipiga picha nyumba yako bila ruhusa/kibali chako utafurahia? Ww ngojea likikamilika siku ya kukabidhiwa upige picha.Wadau nimeshangaa kuona watu wanaopiga picha linalojengwa pale kigongo busisi wanakamata na kunyanyaswa sana. Je shida nini?
Kwanini tulipe Kodi lakini kupiga picha ya kitu kinachojengwa na Kodi zetu tunakataliwa? Wanafjchanini?
Au kwa kuwa wanajenga kinyume na quality ya mwanzo ili wapige pesa ndo maana hawataki watu wasipige picha. Serikali tunataka maelezo
Suala kwa Dunia ya sasa hivi kunashida mtu kupiga picha.Kama baba zako wanaona kwamba watanzania kupiga picha na kuonyesha nakufurahia Kodi zao ni Zambi basi wambie wasitwambie kulipa kodi.ni ushamba mkubwa sna kwa technologia ya sasa hivjSo kwa kuwa umelipa kodi ndio urugusiwe kufanya kila unachotaka?
Ikulu ile pale imejengwa kwa pesa za kodi yako, nenda kaingie pale, achilia mbali kupiga picha.
Sometimes shughulisha akili yako vyema.
Sio kila jambo ni la kufungulia uzi waulize wahusika waliokuzuia!Wadau nimeshangaa kuona watu wanaopiga picha linalojengwa pale kigongo busisi wanakamata na kunyanyaswa sana. Je shida nini?
Kwanini tulipe Kodi lakini kupiga picha ya kitu kinachojengwa na Kodi zetu tunakataliwa? Wanafjchanini?
Au kwa kuwa wanajenga kinyume na quality ya mwanzo ili wapige pesa ndo maana hawataki watu wasipige picha. Serikali tunataka maelezo
Hawajilua wao nikuktaza kupiga picha..watu wa ovyo sana.China na nch mbalimbali tunaona madaraja harafu hapa wanaleta ushe zi au kwa kuwa kunawizi unafanyika wanaogopa kudhalilishwa kwa ushahidi baadayeSio kila jambo ni la kufungulia uzi waulize wahusika waliokuzuia!
Ukipga TU unakamatwa na mgambo WA ferry?harafu wanakuomba rushwa ya elfu hamsini..mie juzi nimewaambia wanipeleke mahakani ili nione Sheria inasemaje..wakaniachanani Kakutaza
Adui yeyote akifahamu 'Engineering Formula of the Stretch Structure' itakuwa ni hatari katika mawanda ya usalama na uchumi kulengwa kwa hujuma, kwa hiyo wako sahihi kwa sasa mpaka daraja likikamilika litafungwa kamera za usalama na kikosi maalu cha kufanya doria chini ya miundo mbinu hiyo.Wadau nimeshangaa kuona watu wanaopiga picha linalojengwa pale kigongo busisi wanakamata na kunyanyaswa sana. Je shida nini?
Kwanini tulipe Kodi lakini kupiga picha ya kitu kinachojengwa na Kodi zetu tunakataliwa? Wanafjchanini?
Au kwa kuwa wanajenga kinyume na quality ya mwanzo ili wapige pesa ndo maana hawataki watu wasipige picha. Serikali tunataka maelezo
Nimeweka Thread Yangu Ya Busisi UmeionaUkipga TU unakamatwa na mgambo WA ferry?harafu wanakuomba rushwa ya elfu hamsini..mie juzi nimewaambia wanipeleke mahakani ili nione Sheria inasemaje..wakaniacha
Ukipiga picha ukiwa kwenye kivuko hamna mtu anakukataza, Mimi mara kwa mara napiga sijaona kukatazwa.Wadau nimeshangaa kuona watu wanaopiga picha linalojengwa pale kigongo busisi wanakamata na kunyanyaswa sana. Je shida nini?
Kwanini tulipe Kodi lakini kupiga picha ya kitu kinachojengwa na Kodi zetu tunakataliwa? Wanafjchanini?
Au kwa kuwa wanajenga kinyume na quality ya mwanzo ili wapige pesa ndo maana hawataki watu wasipige picha. Serikali tunataka maelezo
Usalama uliochanganyika na ushamba wa kijamaa.Ni sababu za kiusalama tu, Elimu yake hutolewa shule za msingi!
Kuna wakati Pajero ilikuwa marufuku maeneo ya bank!Range Rover marufuku BoT