Funguwa hiyo webu ipo rula kwa kushoto unaweza kupima na eneo limeandikwa kuwa hili ni la Tanzania hata kule kwenye ugonvi Kenya na Somalia lile eneo limeandikwa hivyohivyo kuwa hapa kuna mbinde.Hivi international waters ni Km ngapi kutokea kwny fukwe zetu?
Ina shangaza Zanzibar wana angiza samaki asilimia kubwa nje pamoja na Kuku ndio karibia 90% wanaagiza kutoka Brazil.Tatizo ni uzembe wetu sisi tumekalia kutoa leseni za uvuvi lakini hatuna sehemu ya kuhifadhi samaki kwa hiyo meli zote zinazovua zinaenda kuhifadhi samaki ama mombasa Kenya au Seychelles. Tumeweza kujenga jengo la kuhifadhi magari lakini tumeshindwa kujenga cold room ya kuhifadhi samaki.
Mbowe, Tundu na Mnyika ndio wanalindwa? Au unamaanisha niniš¤š¤Walinzi wako buzy kulinda wapinzani. Samaki acha wavue kwani bahari ni yetu pekeyetu? Kumbuka hata samaki baharini humigrate tokana na hali ya hewa
Sio zanzibar hata bara walikuwa wanaagiza samaki tola chinaIna shangaza Zanzibar wana angiza samaki asilimia kubwa nje pamoja na Kuku ndio karibia 90% wana agiza kutoka Brazili
Nina juwa mkuu ila sio kwa kiwango kikubwa kama wanavyo agiza kuku na samaki ZanzibarSio zanzibar hata bara walikuwa wanaagiza samaki tola china
Kuna Uzi niliuona huku ukiuliza kwanini kipindi hiki cha Hussein vyombo vya usalama vipo karibu sana na ikulu ya Zanzibar?Mama D
Ukisitajabu ya musaa utayaona ya Firauni! Zanzibar pana shidah
Zanzibar watu wapo hoi asije wa malizia sijuwi walikwama wapi kile kisiwa bara bara zote mbovuKuna Uzi niliuona huku ukiuliza kwanini kipindi hiki cha Hussein vyombo vya usalama vipo karibu sana na ikulu ya Zanzibar?
Tumwache afanye kazi
Watu walisharubuniwa Mabeberu wanajichotea tuu maliZanzibar watu wapo hoi asije wa malizia sijuwi walikwama wapi kile kisiwa bara bara zote mbovu
zikinunuliwa,ghafla zinageuka si kipaumbele.Waache wavue tu. Sisi tumewekeza kwenye siasa za kuwanunua wapinzani na pia kuiba kura.
Siku akili zikitukaa sawa, na sisi tutanunua meli za kisasa za uvuvi na zinazoweza kuingia kwenye kina chochote kile cha bahari.
Eti hawatoi kibali cha kuvua bahari kuu kwa Zanzibarš³Watu walisharubuniwa Mabeberu wanajichotea tuu mali
Usiogope, tutaanza huo ujenz pale chatoTatizo ni uzembe wetu sisi tumekalia kutoa leseni za uvuvi lakini hatuna sehemu ya kuhifadhi samaki kwa hiyo meli zote zinazovua zinaenda kuhifadhi samaki ama mombasa Kenya au Seychelles. Tumeweza kujenga jengo la kuhifadhi magari lakini tumeshindwa kujenga cold room ya kuhifadhi samaki.