Kwanini sheria inayolinda misafara isi rekebishwe

Kwanini sheria inayolinda misafara isi rekebishwe

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,391
Reaction score
3,849
Tupo katika dunia ambayo kwa sasa maendeleo ya binadamu, miundo mbinu na ya sayansi yamekuwa yakionekana kuwanufaisha watu hata kiuchumi. Hapa arusha msafara wa viongozi ni kero kwa wataftaji, mnasimamishwa saa 1 kabla ya msafara, kwann wasisimaishe magari na shuguli za barabarani dka 10 tu kabla ya msafara kupita. Toka jana imekuwa taabu, ukiwa msafiri waairport lazima utachelewa ndege, unawah kazini hesabu maumivu. Viongozi wanahitaji ulinzi ndio pia sisi watu wa hali ya chini waangalie maslahi pia kama hiyo misafara ya kusubiria masaa 2 yana faida kwetu.
 
Viongozi wengine hawahitaji escort kubwa
Laba Rais, Makamu wa Rais, Waziri mkuu

Utashangaa mpo foleni anapika Waziri wa jinsia na Watoto?
Hata watu hawamjui
 
Tupo katika dunia ambayo kwa sasa maendeleo ya binadamu, miundo mbinu na ya sayansi yamekuwa yakionekana kuwanufaisha watu hata kiuchumi. Hapa arusha msafara wa viongozi ni kero kwa wataftaji, mnasimamishwa saa 1 kabla ya msafara, kwann wasisimaishe magari na shuguli za barabarani dka 10 tu kabla ya msafara kupita. Toka jana imekuwa taabu, ukiwa msafiri waairport lazima utachelewa ndege, unawah kazini hesabu maumivu. Viongozi wanahitaji ulinzi ndio pia sisi watu wa hali ya chini waangalie maslahi pia kama hiyo misafara ya kusubiria masaa 2 yana faida kwetu.
Si wanadai hii nchi ya Amani sasa misafara ya nini kama sio usenge tuu…
 
Back
Top Bottom