Kwanini Shirika la Viwango Tanzania (TBS) hawapewi kibali cha kuajiri tangu 2019 leo 2023

Duniani Kote Serikali Sio chanzo Rasmi cha Akira,Serikali inaajiri watu wachache Tu,Lakini Sisi wabongo macho yote Kwa serikali sababu mnapenda ule mteremko na wizi na maadili,JIAJIRINI anzeni kidogo kidogo na mtapanda kwa kadri ya juhudi,Tuacheni Ubishooo na malalamiko kila Dakika,
 
Kaingia mwanamke pale, tunamuombea afanikishe hili la ajira
 
Mkuu hapa umeandika kama Mwijaku
 
😁😁 usikute huyo jamaa kabla hajaajiriwa au hajajipata alikua mlalamikaji ,kalamba asali kawa motivational speaker anataka vijana wajiaji
Bahati Mbaya Hapana,Ila Nailaumu Sana Serikali Kwa kuamfanya kitu kama Job Security ndomana wengi mnapenda huko,wangeweka ajira za mkataba Serikalini Sidhani kama wengi wetu macho twengeyapeleka huko zaidi
 
Bahati Mbaya Hapana,Ila Nailaumu Sana Serikali Kwa kuamfanya kitu kama Job Security ndomana wengi mnapenda huko,wangeweka ajira za mkataba Serikalini Sidhani kama wengi wetu macho twengeyapeleka huko zaidi
Kwenye hilo nakupa 5
 
wametangaza ajira 2 Jana mambo ya plumbing and pipe fittings,
ila Kuna shida kwenye kuapply unaweza jaza Kila kitu sawa according to sifa walizotaja ila ukiapply wanakwambia huna sifa
 
Pia inawezekana walikua wanapewa sana vibali vya kuhamia kujaza ikama zilizopo. Tukumbuke vibali hutoka kwa kuzingatia wage bill ya serikali.​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…