Tafiti upingwa kwa tafiti , Mwanza ni masikini sana hakuna aja ya kurefusha maongezimkuu epukana na propaganda za TBS...tanzania breau of statistics taarifa wanapika hao..,
back to the topic..Mwanza ndo mji ambao fursa nje nje...pesa ipo umasikini ukosekane dodoma kwenye nyumba za tembe uje Mwanza kweli? uwaache waha uje kwa wanangu wasukuma kweli?
Ushamba unazushwa tu,kuna makabila mbalimbali huku
Kuna hela huko ??Aman iwe juu yenu
Naomba kuuliza ni kwanini wasanii wengi hupenda sana kwenda kufanya show zao kahama na mwanza ambayo ni mikoa masikin kwa majubi wa takwimu za taifa
Je kahama kwa masikin kuna nini mbona show nyingi hufanyika sana pale na tena show za bei kubwa kubwa
Tena show nyingi hufanyika za one man show
Alianza alikiba akajaza uwanja kaja diamond kajaza uwanja nandy naye alijaza uwnja chege na wasanii wengi pia hujaza uwaja
Tukija kwa jiji kubwa na la pili kwa ukubwa nchi nzima ambalo kwa mujibu wa takwimu za taifa ni jiji masikin sana. Napo show hufanyika za kibabe sana tena za kila mwaka
Mwanza kunaweza fanyika show hata tano kwa siku na kila show ikajaza watu
Moja inaweza kuwa isamilo ikajaza na nyingine inaweza kuwa jembe ikajaza na nyingine inaweza kuwa villa ikajaza na nyingine inaweza gold crest ikajaza pia
Je sasa kwanini sehemu hizi masikin hutema sana pesa kushinda sehemu tajili nchini
Nawasilisha
Mayala B
Dada nitakuja kanda ya ziwa, naomba unipokee.
Pesa tunazo na kutumia tunajuaKuna nini pale kwani
Labda vile wanasemaga wasukuma ni washamba
Ndio kuna washamba. Na watu wakushobokea wasanii
wee jamaa umeiba wazo langu. ila fresh tu, umeandika kitu ambacho nilitaka kukiandika. [emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
Mwanza wasukuma bado washamba sana kuna wasanii wao huku wanaimba kisukuma yani wanapiga hela mbaya
Me nimezaliwa mwanza Mabatin,Ila kinacho fanya mwanza ijaze kwenye show za wasanii ni kutokana na uwepo wa vijana weng wanao toka vijiji vya mikoa ya jiran,kigoma,shinyanga,tabora n,k,Hawa vijana weng huja na ushamba flan, Na kutokana na upataji wa pesa ulivo rahis hapa mwanza vijana hawa hujikuta wana shobokea vitu kama hivyo,hata kahama ni hivo hvo.
Kama ndo hivyo basi New york, Chicago, Miami, nk ndo kunawashamba wengi sana kuliko sehemu yoyote ile, make hujazana kwenye show za wasanii kuliko hata mwanza.Umeniwahi kabisa. Mimi naongezea tuu kuna washamba wengi so hata dudubaya akienda kupafom lazima ajaze. OVA
Wee naye ni mshamba tu kama mimi, unaye amini kuwa WAZUNGU sio washamba!!!Kama ndo hivyo basi New york, Chicago, Miami, nk ndo kunawashamba wengi sana kuliko sehemu yoyote ile, make hujazana kwenye show za wasanii kuliko hata mwanza.
Hadi hapo imebainika ninyi ndo washamba, kwa akili yenu fupi kwamba Mwanza wakijaza shows washamba, na New York je?!!
Si ndo kwa Wasukuma huko? Wao hununua na kushangaa kila kitu bila kujali uboraAman iwe juu yenu
Naomba kuuliza ni kwanini wasanii wengi hupenda sana kwenda kufanya show zao kahama na mwanza ambayo ni mikoa masikin kwa majubi wa takwimu za taifa
Je kahama kwa masikin kuna nini mbona show nyingi hufanyika sana pale na tena show za bei kubwa kubwa
Tena show nyingi hufanyika za one man show
Alianza alikiba akajaza uwanja kaja diamond kajaza uwanja nandy naye alijaza uwnja chege na wasanii wengi pia hujaza uwaja
Tukija kwa jiji kubwa na la pili kwa ukubwa nchi nzima ambalo kwa mujibu wa takwimu za taifa ni jiji masikin sana. Napo show hufanyika za kibabe sana tena za kila mwaka
Mwanza kunaweza fanyika show hata tano kwa siku na kila show ikajaza watu
Moja inaweza kuwa isamilo ikajaza na nyingine inaweza kuwa jembe ikajaza na nyingine inaweza kuwa villa ikajaza na nyingine inaweza gold crest ikajaza pia
Je sasa kwanini sehemu hizi masikin hutema sana pesa kushinda sehemu tajili nchini
Nawasilisha
Mayala B
wew ndo mshamba ambaye hujui kama na wazungu ni washambaπππ,wazungu ndo washamba kupitiliza ndo mana wanaweza kutoka kule kwao kuja huku kushangaa vitu vya kawaida eti kwa kivuli wamekuja kujifunza.Kama ndo hivyo basi New york, Chicago, Miami, nk ndo kunawashamba wengi sana kuliko sehemu yoyote ile, make hujazana kwenye show za wasanii kuliko hata mwanza.
Hadi hapo imebainika ninyi ndo washamba, kwa akili yenu fupi kwamba Mwanza wakijaza shows washamba, na New York je?!!
Wee naye ni mshamba tu kama mimi, unaye amini kuwa WAZUNGU sio washamba!!!
ππππππ
Ushamba wenu mwingine hamjui hata maana ya 'mshamba'wew ndo mshamba ambaye hujui kama na wazungu ni washamba[emoji3][emoji3][emoji3],wazungu ndo washamba kupitiliza ndo mana wanaweza kutoka kule kwao kuja huku kushangaa vitu vya kawaida eti kwa kivuli wamekuja kujifunza.
πππ Daah!mkuu epukana na propaganda za TBS...tanzania breau of statistics taarifa wanapika hao..,
back to the topic..Mwanza ndo mji ambao fursa nje nje...pesa ipo umasikini ukosekane dodoma kwenye nyumba za tembe uje Mwanza kweli? uwaache waha uje kwa wanangu wasukuma kweli?
cc manengelo njoo utusaidie jibu hili swala Dada ake; Ni kweli hii mikoa masikini Kama ilivyo orodheshwa
Aisee;Hahhahhaa nadhah wanajaza kwasababu wana kaushamba fulan..alipokuja diamond kahama juzi hapa nadhan ni mm tu sikua na shobo.nae..had wazee walitimba