Kwanini show nyingi za wasanii wa muziki hufanyika sana Mwanza na Kahama?

Kwanini show nyingi za wasanii wa muziki hufanyika sana Mwanza na Kahama?

mkuu epukana na propaganda za TBS...tanzania breau of statistics taarifa wanapika hao..,
back to the topic..Mwanza ndo mji ambao fursa nje nje...pesa ipo umasikini ukosekane dodoma kwenye nyumba za tembe uje Mwanza kweli? uwaache waha uje kwa wanangu wasukuma kweli?
Tafiti upingwa kwa tafiti , Mwanza ni masikini sana hakuna aja ya kurefusha maongezi
 
Aman iwe juu yenu

Naomba kuuliza ni kwanini wasanii wengi hupenda sana kwenda kufanya show zao kahama na mwanza ambayo ni mikoa masikin kwa majubi wa takwimu za taifa

Je kahama kwa masikin kuna nini mbona show nyingi hufanyika sana pale na tena show za bei kubwa kubwa

Tena show nyingi hufanyika za one man show

Alianza alikiba akajaza uwanja kaja diamond kajaza uwanja nandy naye alijaza uwnja chege na wasanii wengi pia hujaza uwaja

Tukija kwa jiji kubwa na la pili kwa ukubwa nchi nzima ambalo kwa mujibu wa takwimu za taifa ni jiji masikin sana. Napo show hufanyika za kibabe sana tena za kila mwaka

Mwanza kunaweza fanyika show hata tano kwa siku na kila show ikajaza watu

Moja inaweza kuwa isamilo ikajaza na nyingine inaweza kuwa jembe ikajaza na nyingine inaweza kuwa villa ikajaza na nyingine inaweza gold crest ikajaza pia

Je sasa kwanini sehemu hizi masikin hutema sana pesa kushinda sehemu tajili nchini

Nawasilisha

Mayala B
Kuna hela huko ??
Almasi
 
Labda vile wanasemaga wasukuma ni washamba
Ndio kuna washamba. Na watu wakushobokea wasanii
wee jamaa umeiba wazo langu. ila fresh tu, umeandika kitu ambacho nilitaka kukiandika. [emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
Mwanza wasukuma bado washamba sana kuna wasanii wao huku wanaimba kisukuma yani wanapiga hela mbaya
Me nimezaliwa mwanza Mabatin,Ila kinacho fanya mwanza ijaze kwenye show za wasanii ni kutokana na uwepo wa vijana weng wanao toka vijiji vya mikoa ya jiran,kigoma,shinyanga,tabora n,k,Hawa vijana weng huja na ushamba flan, Na kutokana na upataji wa pesa ulivo rahis hapa mwanza vijana hawa hujikuta wana shobokea vitu kama hivyo,hata kahama ni hivo hvo.
Umeniwahi kabisa. Mimi naongezea tuu kuna washamba wengi so hata dudubaya akienda kupafom lazima ajaze. OVA
Kama ndo hivyo basi New york, Chicago, Miami, nk ndo kunawashamba wengi sana kuliko sehemu yoyote ile, make hujazana kwenye show za wasanii kuliko hata mwanza.
Hadi hapo imebainika ninyi ndo washamba, kwa akili yenu fupi kwamba Mwanza wakijaza shows washamba, na New York je?!!
 
Kama ndo hivyo basi New york, Chicago, Miami, nk ndo kunawashamba wengi sana kuliko sehemu yoyote ile, make hujazana kwenye show za wasanii kuliko hata mwanza.
Hadi hapo imebainika ninyi ndo washamba, kwa akili yenu fupi kwamba Mwanza wakijaza shows washamba, na New York je?!!
Wee naye ni mshamba tu kama mimi, unaye amini kuwa WAZUNGU sio washamba!!!
🙄🙄🙄🙄🙄🙄
 
Aman iwe juu yenu

Naomba kuuliza ni kwanini wasanii wengi hupenda sana kwenda kufanya show zao kahama na mwanza ambayo ni mikoa masikin kwa majubi wa takwimu za taifa

Je kahama kwa masikin kuna nini mbona show nyingi hufanyika sana pale na tena show za bei kubwa kubwa

Tena show nyingi hufanyika za one man show

Alianza alikiba akajaza uwanja kaja diamond kajaza uwanja nandy naye alijaza uwnja chege na wasanii wengi pia hujaza uwaja

Tukija kwa jiji kubwa na la pili kwa ukubwa nchi nzima ambalo kwa mujibu wa takwimu za taifa ni jiji masikin sana. Napo show hufanyika za kibabe sana tena za kila mwaka

Mwanza kunaweza fanyika show hata tano kwa siku na kila show ikajaza watu

Moja inaweza kuwa isamilo ikajaza na nyingine inaweza kuwa jembe ikajaza na nyingine inaweza kuwa villa ikajaza na nyingine inaweza gold crest ikajaza pia

Je sasa kwanini sehemu hizi masikin hutema sana pesa kushinda sehemu tajili nchini

Nawasilisha

Mayala B
Si ndo kwa Wasukuma huko? Wao hununua na kushangaa kila kitu bila kujali ubora
 
Kama ndo hivyo basi New york, Chicago, Miami, nk ndo kunawashamba wengi sana kuliko sehemu yoyote ile, make hujazana kwenye show za wasanii kuliko hata mwanza.
Hadi hapo imebainika ninyi ndo washamba, kwa akili yenu fupi kwamba Mwanza wakijaza shows washamba, na New York je?!!
wew ndo mshamba ambaye hujui kama na wazungu ni washamba😀😀😀,wazungu ndo washamba kupitiliza ndo mana wanaweza kutoka kule kwao kuja huku kushangaa vitu vya kawaida eti kwa kivuli wamekuja kujifunza.
 
Wee naye ni mshamba tu kama mimi, unaye amini kuwa WAZUNGU sio washamba!!!
🙄🙄🙄🙄🙄🙄
wew ndo mshamba ambaye hujui kama na wazungu ni washamba[emoji3][emoji3][emoji3],wazungu ndo washamba kupitiliza ndo mana wanaweza kutoka kule kwao kuja huku kushangaa vitu vya kawaida eti kwa kivuli wamekuja kujifunza.
Ushamba wenu mwingine hamjui hata maana ya 'mshamba'
 
mkuu epukana na propaganda za TBS...tanzania breau of statistics taarifa wanapika hao..,
back to the topic..Mwanza ndo mji ambao fursa nje nje...pesa ipo umasikini ukosekane dodoma kwenye nyumba za tembe uje Mwanza kweli? uwaache waha uje kwa wanangu wasukuma kweli?
😂😂😂 Daah!
 
Sijawahi fika Mwanza ila Kahama siku ya kwanza kufika nilipapenda yani kupo kama Daslama tu kuna ile bar yao moja ipo karibu na stendi ya mabasi jina nimeisahau aisee iko poa sana yani nikiendaga najionaga kama vile nipo Daslama aiseee
 
Back
Top Bottom