Kwanini Shule ya Sheria iko Dar pekee?

Umeandika vizuri sana. Hongera kwa mawazo makubwa
 
On point[emoji106]
 
Zanzibar hakuna law school kamanda, unapiga degree yako then unaenda internship miezi kadhaa baada ya hapo una petition kwa CJ unamaliza mchezo chaap unakua wakili sio kama huku mangi.
 
Kabla ya kuropoka..jaribu pia kujiuliza kwa nini ndio uje kujenga hoja;

Kunakitu kinaitwa Locus Stand,iwe uwe wakili au nani unayejua sheria au uji..huwezi kwenda mahakamani bila kuwa na locus stand.
na hiyo latin maxim uliyotumia atadhani umemtusi... maana VIJANA WA BAED HAWACHELEWI KUJAA NYEMBE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…