Kwanini shule za kiislamu hazifanyi vizuri katika mitihani ya taifa?

Kwa sababu kule wanasoma vitu vingi ukijumuisha na dini. Huku upande wa pili wanaabudu hadi picha ya mzungu kwenye dini yao wapo sifuri.
Mara nyingi ukimkuta muislamu yupo vizuri amehifadhi Qur'an by default lazima upande mwingine wapo vizuri.
 
Umeongea vizuri sana mimi kama muislam imenigusa sana sisi tupo nyumba mno kwenye swala la elimu
 
Kuna mchujo pia. Shule za kanisa wanafunzi wanaingia kwa mtihani wa interview watakaopenya uko darasani wanaenda kukutana wale finest
 
Makuzi na Malezi ndio msingi wa maendeleao katika Nyanja nyingi.
kwao kufuata sheria za dini ndio kipaumbele kikuu, kuliko elimu.
Na usisahau kushika sheria za dini sio utakatifu.
 
Anna tibaijuka anayo majibu ya kutosha juu ya swali lako. Fuatilia ili ujue wale wanaoteuliwa kusahihisha mitihani, pamoja na maagizo wanayopewa
Ingawa itakuwa NI ngumu kumeza, lkn kuna kitu utaking'amua
 
Mfumo Kristo

Rais wa Tanganyika Mkristo
Rais wa Zanzibar Mkristo
Jaji Mkuu Mkristo
Waziri Mkuu mkristo
Mwanasheria Mkuu Mkristo

Walah mfumo kristo ni balaa.

Mfumo kristo upo deep zaidi ya hapo. Hadi nchi iwe under sharia ndo mfumo kristo utaisha. Mohamed Said atakupa maelekezo zaidi na jinsi Sykes alivyohusika kupambana mfumo kristu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…