Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Miaka ya nyuma kuna baadhi ya magonjwa yalikuwa yanawapata zaidi watu wenye umri mkubwa/wazee hivyo tulishazoea kuona kwamba magonjwa hayo ni ya wazee
Magonjwa kama macho
Presha
Moyo
Kisukari
Yalikuwa yanawapata zaidi watu wenye umri mkubwa
Ila siku hizi mtoto Mdogo tu ana matatizo ya macho haoni vizuri anaanza kuvaa miwani
Siku hizi watoto wengi wanaugua presha na magonjwa ya moyo hata wale wembamba yani vimbaumbau
Je ni nini hasa kinasababisha hii hali??
Siku hizi vijana wanashindwa hata kuhimili kusimama nusu saa tu,ndani ya dakika kadhaa kijana hasa wasichana akisimama analalamika kuchoka na wengine wanadondoka
Nini kinawakuta vijana wengi wa siku hizi kuwa dhahifu???
Magonjwa kama macho
Presha
Moyo
Kisukari
Yalikuwa yanawapata zaidi watu wenye umri mkubwa
Ila siku hizi mtoto Mdogo tu ana matatizo ya macho haoni vizuri anaanza kuvaa miwani
Siku hizi watoto wengi wanaugua presha na magonjwa ya moyo hata wale wembamba yani vimbaumbau
Je ni nini hasa kinasababisha hii hali??
Siku hizi vijana wanashindwa hata kuhimili kusimama nusu saa tu,ndani ya dakika kadhaa kijana hasa wasichana akisimama analalamika kuchoka na wengine wanadondoka
Nini kinawakuta vijana wengi wa siku hizi kuwa dhahifu???