Kwanini siku hizi wanayanyanyua matiti juu na kuyabana namna hii?


Unaleta mambo ya rikiboy kula tunda ili uzi ufungiwe au?
 
Umekuja mjini week iliyopita nini..!! Mbona hiyo kitambo Sana..Ni vile tu Masha manyonyo kaamua kuiboost
Aiseeee...yule Dada nliona lile nyonyo..nkasema Kuna watu wamebarikiwa...Duuuh
 
[SUB]Kiumbe jinsia Ke kimeumbiwa mambo mengi sanaa so usichanganyikiwe sanaa mtoa UZI chqmsingi uwe na shabaha ya kuliona lango [/SUB]
 
Tujuzane sasa...
Hivi ni dili au ? tena yanabanwa na kupandishwa juu huonekana kifuani karibia kila mwanamke hapa mjini, kwanini wajuba? Wanatuchukuliaje hawa?
Ikiwezekana waje watueleze hapa..View attachment 1586963
Lengo ni kuionyesha jamii kuwa matiti yake hayajalegea kama ndala.
Lengo ni kuionyesha jamii kuwa umri wao haujawatupa. It's something like a business
 
Ili matiti yaonekane mapya na magumu kama ya teenager kupumbaza wanaume kumbe ndala tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…