Kwanini siku hizi wanayanyanyua matiti juu na kuyabana namna hii?

Kwanini siku hizi wanayanyanyua matiti juu na kuyabana namna hii?

Siku hizi wamezidisha imekuwa ndio fasheni
Sio kwamba wanazidisha ila idadi ya wanawake wenye matiti makubwa imeongezeka... yaani matiti makubwa ya asili na makubwa ya Kichina, na hata uvaaji wa sidiria nao umeongezeka!

Sasa jeki zinaonekana wazi wazi zaidi kwa wanawake wenye matiti makubwa!! Na mzigo kama huo ukitaka kuutoa kwenye original elevation na kuutaka u-fit kwenye sidiria, ndo hapo sasa unakuta kifua kimezidi makalio ya Da' Mange!
 
Ndio maana tunataka wajisitiri wasionyeshe maungo yao ila kuna wanaume washenzi wanaotaka kuwaona wanawake wakiwa uchi hawataki wanawake wajisitiri wanasema kujisitiri yan kufunika mwili wake ni kumdhalilisha mwanamke na kinyume chake kuonyesha makalio maziwa mapaja ndio haki za mwanamke. Na media zina promote hivyo kumthamini mwanamke ni kumuacha uchi
Sijawahi sikia kwamba kujisitiri ni kumdhalilisha mwanamke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wapo wenye matiti ya kichina sio kwamba wanawake hawapendi kuwa na matiti makubwa
Sio kwamba wanazidisha ila idadi ya wanawake wenye matiti makubwa imeongezeka... yaani matiti makubwa ya asili na makubwa ya Kichina, na hata uvaaji wa sidiria nao umeongezeka!

Sasa jeki zinaonekana wazi wazi zaidi kwa wanawake wenye matiti makubwa!! Na mzigo kama huo ukitaka kuutoa kwenye original elevation na kuutaka u-fit kwenye sidiria, ndo hapo sasa unakuta kifua kimezidi makalio ya Da' Mange!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kwamba wanazidisha ila idadi ya wanawake wenye matiti makubwa imeongezeka... yaani matiti makubwa ya asili na makubwa ya Kichina, na hata uvaaji wa sidiria nao umeongezeka!

Sasa jeki zinaonekana wazi wazi zaidi kwa wanawake wenye matiti makubwa!! Na mzigo kama huo ukitaka kuutoa kwenye original elevation na kuutaka u-fit kwenye sidiria, ndo hapo sasa unakuta kifua kimezidi makalio ya Da' Mange!
Ngoja mange akusikie
 
Hivi wapo wenye matiti ya kichina sio kwamba wanawake hawapendi kuwa na matiti makubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wa enzi hizo ndo walikuwa hawapendi matiti makubwa lakini baadhi ya wanawake wa kileo wanaoona wenzao ughaibuni wanafanya surgery kutaka matiti makubwa, unakuta na wenyewe wanaiga hiyo kitu, kama wanavyoutaka wembamba hivi sasa wakati mwanamke Mwafrika asilia anataka a bantu figure!!
 
Back
Top Bottom