Kwanini siku hizi wanayanyanyua matiti juu na kuyabana namna hii?

We utakuwa Mpogoro, bisha?!
 
Kwa kumbukumbu zangu, nimepata akili sidiria nimezikuta!!

Na hadi napata akili za kukaa maskani, nikakuta simulizi za matiti kuyapiga jeki!!! Anyway, labda wakati nilikuwa bado "katoto"... hivi kupiga jeki si ndo enzi zile ma-bro walikuwa wanaita kupiga jeki?!

If so, sasa hizo habari za "...kwanini siku hizi" zinatoka wapi wakati hata tuliosoma enzi za Mkapa hayo mambo tumeyakuta?!
 
Siku hizi wamezidisha imekuwa ndio fasheni
 
Tujuzane sasa.

Hivi ni dili au ? tena yanabanwa na kupandishwa juu huonekana kifuani karibia kila mwanamke hapa mjini, kwanini wajuba? Wanatuchukuliaje hawa?

Ikiwezekana waje watueleze hapa.

View attachment 1586963
Ndio maana tunataka wajisitiri wasionyeshe maungo yao ila kuna wanaume washenzi wanaotaka kuwaona wanawake wakiwa uchi hawataki wanawake wajisitiri wanasema kujisitiri yan kufunika mwili wake ni kumdhalilisha mwanamke na kinyume chake kuonyesha makalio maziwa mapaja ndio haki za mwanamke. Na media zina promote hivyo kumthamini mwanamke ni kumuacha uchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…