issa ramadhani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 1,319
- 260
Wadau,
Naomba tujiuliulize hili swali na kwa mwenye majibu ataweza tupatia.
Kwa nini siku mpya huanza kuhesabiwa usiku wa manane na si pale jua linapochomoza?
Karibuni tupeane ujuzi wa swala hili
Naomba tujiuliulize hili swali na kwa mwenye majibu ataweza tupatia.
Kwa nini siku mpya huanza kuhesabiwa usiku wa manane na si pale jua linapochomoza?
Karibuni tupeane ujuzi wa swala hili