Kwanini siku mpya huanza usiku na si pale jua linapochomoza?

Kwanini siku mpya huanza usiku na si pale jua linapochomoza?

mkuu huku africa tuna bahati kwamba jua linachomoza asubuhi na kuzama jioni lkn nchi za wenzetu kuna kipindi jua linazama saa mbili usiku au kuchomoza saa kumi alfajiri..kwa hiyo kuzama au kuchomoza kwa jua sio kigezo kuwa siku imeisha

mmh,mkuu hapana east africa tunatofautiana one hour na central africa,then kuna zone moja inawahi kupata siku kuliko nyingne because of time difference
 
mkuu nimeongelea kuzama na kuchomoza kwa jua..ni kweli EAT na CAT tumepishana ila masaa ni yale yale yaani masaa 12 ya mwanga na masaa 12 ya giza ila nchi za wenzetu unaweza ukakuta masaa 14 ni jua na masaa 10 ni giza..nadhani umenielewa mkuu..
 
Kila sehemu inapata usiku kila wakati unapofika,na si kila sehemu ina-experience kuchomoza kwa jua kwa majira yote ya mwaka mfano polar regions.Sasa mkuu kwa dhana yako ya siku kuanza kuhesabiwa pale linapochomoza jua je mahala ambapo jua halichomozi siku zigande mpaka litakapochomoza?

mkuu kuna utofauti kati ya daylight na night,kwa dhana hii hata kama jua halijachomoza au limechomoza watu wa eneo husika wata experience daylight na night due to earths rotation,
 
nafikiri kukwepa usumbufu. ukisema muanze saa 12 asubuhi italeta usumbufu kwa watu wanaonza kazi saa 10 na 11 asubuhi. itabidi waandike tarehe mbili kwa shift moja. pia jua halichomozi muda mmoja.
 
mkuu nimeongelea kuzama na kuchomoza kwa jua..ni kweli EAT na CAT tumepishana ila masaa ni yale yale yaani masaa 12 ya mwanga na masaa 12 ya giza ila nchi za wenzetu unaweza ukakuta masaa 14 ni jua na masaa 10 ni giza..nadhani umenielewa mkuu..

mkuu kuna kuna siku mbili tu ambazo either daylight hours inaweza ikawa na masaa meng kuliko night hours and vice versa is true,rejea solstice and equinox mkuu.
 
Kwa mujibu wa biblia siku imegawanywa 12hrs mchana na 12hrs usiku,kitabu cha mwanzo kinasema"ikawa usiku,ikawa mchana,siku ya kwanza......."kwa hiyo siku inaanza 1 usiku na kuisha 12 jioni,mfano Hebrew calender ambayo wayaudi(israel) wanaifuata ipo vizuri,ikifika saa 1 usiku siku ya ijumaa sabato inaanza mpaka 12 jioni jumamosi,mabadiliko ya siku kuanza saa 6usk yapo kwenye kalenda ya Gregoriani ambayo aliiboresha kidogo kalenda ya Julian ambayo dola ya rumi na pia kanisa katoliki liliiridhia enzi hizo na ndiyo kalenda inayotumika duniani kote kwa sasa
 
siku mbili za juma,za mwaka,za mwezi?dada vua vizuri shekhe wangu
 
GT tumeshindwa kujibu swali. Nashauri tuchukue kama changamoto tufanye research otherwise porojo tu. Swali lipo so direct ila majibu yanazunguka
 
GT tumeshindwa kujibu swali. Nashauri tuchukue kama changamoto tufanye research otherwise porojo tu. Swali lipo so direct ila majibu yanazunguka
DU hapa iko kazi
labda tuanzie na maana ya AM na PM
AM stands for "ante meridiem", which means "before noon" in Latin, while PM stands for "post meridiem", which means "after noon" in Latin. http://www.timeanddate.com/time/am-and-pm.html
wenzetu waliuweka mchana (ADHUHURI) kuwa ndio ufunguo wao hivyo wakagawa kabla ya Adhuhuri na baada ya adhuhuri
sasa km utaamka alfajiri ya saa 10 ina maana hiyo ni siku ingine kwa Nchi yeyote iliyopitiwa na mstari wa kugawa siku (iwe Alaska au New Zealand) zitaigawa hiyo siku kwa AM na PM lakini kwa tarehe wao wana tofauti kubwa kabisa wakati bado ni usiku mmoja yaani New Zealand anaweza kuwa ni saa 7 usiku wa 01/01/2016 wakati Alaska USA ni saa 5,45 usiku wa 31/12/2015

Tukirudi kwenye kuigawa siku ni kuwa waanzilishi walikuwa ni Wa- Misri na wa Mesopotania inasemekana walitumia vinundu vya kwenye ngumi ukikunja (tafsiri yangu) kuhesabu kuanzia usiku na kwa msaada wa nyota
The Egyptians are thought to be responsible for dividing the day in to 24 equal parts. Several reasons have been given to explain this. One account suggests that Egyptians used the base 12, because they counted their joints in their fingers (not thumb) instead of counting using their fingers as it is commonly done now.
Other accounts points towards the use of a system of 36 star groups, called "decans" by the Egyptians to tell time at night. The star groups in the decans tend to rise in the sky 40 minutes after one another. The Egyptians used the decans to develop a system to tell time at night.
Binadamu kwa mawazo yangu hua anachoka na kulala kuanzia hiyo saa sita na wale wahangaikaji ikifika saa 8 huwa hawana ubavu tena awe dereva au mlevi na ndio kipindi cha wenzetu wanaoWANGA hufaidi
USHAURI WANGU
naona walioweka masaa kwa kugawa AM na PM ndio walioigawa siku na kututofautishia siku
ila kiSerikali au kibinadamu siku hua inaanza kutwa na kumalizika alfajiri ya pili ( maana yake utalala Rumande na alifajiri utatolewa sio saa 6 za usiku nk
 
i believe its all about geography...kumbuka kuna times in Alaska wanaona jua for more than 24 hrs, it doesnt set...this world is full of wonders
 
Toa udini wako hapa, kwasababu ni ya kiislamu ndio inamake sense? We kweli fox(mbwa mwitu)

Hapana si fox, umepiga wrong number , ni foxy.

Na fox ni mbwa kikwenu?

Huo "udini" hapo ndiyo uko wapi? nenda kasome biblia uone siku na usiku zikoje.

Punguani wahed.
 
Back
Top Bottom