ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
kachek typhoid, malaria na UTI 🐒Sio mimi peke yangu Bali wadau wote wamezilalamikia pombe za Leo kuanzia Mpaka konyagi tumekunywa lakini hatukufanikiwa kulewa Mpaka sasa hizi.
Unawaza kukamatwa na wahuni wa Zanzibar wakamatao watu na kuwachapa viboko wakila raha zaoSio mimi peke yangu Bali wadau wote wamezilalamikia pombe za Leo kuanzia bia Mpaka konyagi tumekunywa lakini hatukufanikiwa kulewa Mpaka sasa hizi.
Itakuwa mvinyo huo,hauleweshiSio mimi peke yangu Bali wadau wote wamezilalamikia pombe za Leo kuanzia bia Mpaka konyagi tumekunywa lakini hatukufanikiwa kulewa Mpaka sasa hizi.
Hv ni kwa nn mlevi ukimwambia kalewa anakuwa mkali sana 🤔Angalia ushalewa wewe!
Kwasababu wanajua ulevi ni aibuHv ni kwa nn mlevi ukimwambia kalewa anakuwa mkali sana 🤔
Labda mmekunywa za bei nafuuSio mimi peke yangu Bali wadau wote wamezilalamikia pombe za Leo kuanzia bia Mpaka konyagi tumekunywa lakini hatukufanikiwa kulewa Mpaka sasa hizi.