Kwanini sikukuu za Krismasi za miaka hii zimepoteza mvuto?

Kwanini sikukuu za Krismasi za miaka hii zimepoteza mvuto?

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2018
Posts
2,490
Reaction score
3,584
Habari wadau,

Sijuhi ni macho yangu tu au hata wengine mnaona kama ninavyoona mimi.

Wale tuliozaliwa miaka ya 80' kushuka chini ni mashuhuda kwamba zamani ikishafika miezi ya mwisho wa wa November kwenda December kulikuwa na mishe mishe mingi mitaani hata station za radio zilikuwa zikigonga mangoma ya kuashiria X-mas' zimekaribia pia mitaa na maofisi yalikuwa yakipambwa na miti ya X-mas, malls ndio usiseme.

Hii ina ukweli au macho yangu sababu mimi tu ndio sina hela😂😂😂😂
 
Screenshot_20201207-100026.png

..
 
Simply ni kwamba kipindi hiki hakuna kitu kipya katika maisha yetu ya kila siku, nakumbuka zamani hizo kupata Soda na Pilau plus nguo mpya lzm sikukuu ihusike!kulikuwa hakuna outings za rahisi km ilivyo sasa ,kwahiyo misimu ya sikukuu ilikuwa busy kweli kweli.
Kwa mbali ugumu wa maisha pia inaweza changia watu wameji engage kwenye vitu vya kipaumbele kuliko starehe/Sherehe zitakazo consume muda wao na pesa.
 
Back
Top Bottom