Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikusanyiko ipi ni marufuku?
Ww upo wapi boss ,Moshi au maana uchagani ndio kwenyege mvuto wa X-mas????Sema hapo kwako ndio zimekosa mvuto.
Mkuu umri ushasonga ,kwasasa wanao enjyoy ni watoto wa wa 2000's!! Wewe kwasasa xmas au sikukuu hauzipi kipaumbele cozya wamjukumu ,ila watoto wana enjoy sana vipindi vya sikukuu na wanaona kama ulivyokuwa unaona wewe kipindi hicho wakati una umri kama wao wa sasa!!Habari wadau,
Sijuhi ni macho yangu tu au hata wengine mnaona kama ninavyoona mimi.
Wale tuliozaliwa miaka ya 80' kushuka chini ni mashuhuda kwamba zamani ikishafika miezi ya mwisho wa wa November kwenda December kulikuwa na mishe mishe mingi mitaani hata station za radio zilikuwa zikigonga mangoma ya kuashiria X-mas' zimekaribia pia mitaa na maofisi yalikuwa yakipambwa na miti ya X-mas, malls ndio usiseme.
Hii ina ukweli au macho yangu sababu mimi tu ndio sina hela😂😂😂😂
Juzi nimeona maza kawachukua machalii wake wawili kawapeleka malls kwa ajili ya shopping za sikukuu!! Mmoja kamaliza 4 juzi mwingi la 7.Hauna hela mkuu wenye hela maandalizi yashaaanza
brooo galore ndonn samahani umeniacha hapo?Umekua sasa.
Na sasa umejua kwamba Xmas, ukiacha nia njema ile ya kuinua imani, ni just a marketing galore.