Kwanini sikukuu za Krismasi za miaka hii zimepoteza mvuto?

Kwanini sikukuu za Krismasi za miaka hii zimepoteza mvuto?

Uchumi mkuu!
Watu hata pesa ya mti wa Christmas hawana
 
Habari wadau,

Sijuhi ni macho yangu tu au hata wengine mnaona kama ninavyoona mimi.

Wale tuliozaliwa miaka ya 80' kushuka chini ni mashuhuda kwamba zamani ikishafika miezi ya mwisho wa wa November kwenda December kulikuwa na mishe mishe mingi mitaani hata station za radio zilikuwa zikigonga mangoma ya kuashiria X-mas' zimekaribia pia mitaa na maofisi yalikuwa yakipambwa na miti ya X-mas, malls ndio usiseme.

Hii ina ukweli au macho yangu sababu mimi tu ndio sina hela😂😂😂😂
Mkuu umri ushasonga ,kwasasa wanao enjyoy ni watoto wa wa 2000's!! Wewe kwasasa xmas au sikukuu hauzipi kipaumbele cozya wamjukumu ,ila watoto wana enjoy sana vipindi vya sikukuu na wanaona kama ulivyokuwa unaona wewe kipindi hicho wakati una umri kama wao wa sasa!!
 
Kuna watu huwa wanasema kila siku kwao ni sikukuu,
Eisitii Wazalendo, pale baada ya kazi ni bata
 
Sema wewe umepoteza mvuto njoo uone kwetu watu walivyojiachia
 
Back
Top Bottom