Edson Carrington
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 216
- 636
Habari wakuu,
Shida ni nini pale Simba, kwanini hatupandishi mashambulizi na tukipata mpira tunacheza sana pasi za nyuma.
Kipindi cha pili ilibidi mpaka Che Fondoh Marlone awe anapandisha mashambulizi mwenyewe maana kiungo ilikuwa ovyo kabisa kwenye kufanya mashambulizi.
Wings nazo zilishindwa kabisa kufanya attacking.
Ni mara chache sana Simba walienda kumshambulia mpinzani.
Benchi la ufundi liangalie suala hili kwa umakini zaidi haswa kuelekea mechi za klabu bingwa Africa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni nini pale Simba, kwanini hatupandishi mashambulizi na tukipata mpira tunacheza sana pasi za nyuma.
Kipindi cha pili ilibidi mpaka Che Fondoh Marlone awe anapandisha mashambulizi mwenyewe maana kiungo ilikuwa ovyo kabisa kwenye kufanya mashambulizi.
Wings nazo zilishindwa kabisa kufanya attacking.
Ni mara chache sana Simba walienda kumshambulia mpinzani.
Benchi la ufundi liangalie suala hili kwa umakini zaidi haswa kuelekea mechi za klabu bingwa Africa.
Sent using Jamii Forums mobile app