py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
Miaka miwili nyuma kwenye mechi za preseason au kwenye kombe la fa sina uhakika simba walienda Arusha kucheza na klabu ya madini fc ya Arusha inayoshiriki ligi daraja la kwanza.
Kwenye mechi ile mchezaji wa madini fc Awesu awesu alicheza mpira wa hali ya juu kiwango cha kutisha alionyesha mpaka viongozi wa simba waliokuwepo pale walikunwa vichwa na mpira ulivyokwisha viongozi wa simba walimfuata na kuongea nae na Hans pope alisema tayari walishaongea nae na kuchukua namba yake ya simu na msimu ujao ambao ni huu kama sijakosea ndio wangemsajili ila nadhani walimsahau.
Bwana mdogo kumbe kasajiliwa mwadui na leo amecheza vizuri mno dhidi ya simba sc...kiukweli jamaa anaujua sana
Kwenye mechi ile mchezaji wa madini fc Awesu awesu alicheza mpira wa hali ya juu kiwango cha kutisha alionyesha mpaka viongozi wa simba waliokuwepo pale walikunwa vichwa na mpira ulivyokwisha viongozi wa simba walimfuata na kuongea nae na Hans pope alisema tayari walishaongea nae na kuchukua namba yake ya simu na msimu ujao ambao ni huu kama sijakosea ndio wangemsajili ila nadhani walimsahau.
Bwana mdogo kumbe kasajiliwa mwadui na leo amecheza vizuri mno dhidi ya simba sc...kiukweli jamaa anaujua sana