Kwanini Simba ilichaguliwa kuwa mwenyeji wa ufunguzi wa mashindano AFL?

Kwanini Simba ilichaguliwa kuwa mwenyeji wa ufunguzi wa mashindano AFL?

Lubengera

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2019
Posts
963
Reaction score
1,551
Wakuu, leo nilijipa muda wa kupitia baadhi ya makala na machapisho juu ya hili shindano jipya kabisa Africa (AFL), bahati mbaya sikufanikiwa kukutana na sababu za kwanini Simba na Tanzania kwa ujumla ilichaguliwa kuwa mwenyeji wa ufunguzi wa AFL.

Je FIFA + CAF walitumia vigezo gani kuipa simba wenyeji wa ufunguzi, na sio kwa hizi timu kubwa barani Africa kama
1. Mamelody
2. TP Mazembe
3. Al Ahly
4.Esperence.
 
Wakuu, leo nilijipa muda wa kupitia baadhi ya makala na machapisho juu ya hili shindano jipya kabisa Africa (AFL), bahati mbaya sikufanikiwa kukutana na sababu za kwanini Simba na Tanzania kwa ujumla ilichaguliwa kuwa mwenyeji wa ufunguzi wa AFL.

Je FIFA + CAF walitumia vigezo gani kuipa simba wenyeji wa ufunguzi, na sio kwa hizi timu kubwa barani Africa kama
1. Mamelody
2. TP Mazembe
3. Al Ahly
4.Esperence.
Nje ya mada,
Unadhani kwanini TFF hupenda kupeleka fainali za FA kwenye mikoa ambayo soka lake liko chini kuliko mikoa mengine?

Yaan hufanyika mara nyingi kwenye mikoa ambayo haina timu ligi kuu, au Ina timu chache kwenye madaraja ya juu
 
Nje ya mada,
Unadhani kwanini TFF hupenda kupeleka fainali za FA kwenye mikoa ambayo soka lake liko chini kuliko mikoa mengine?

Yaan hufanyika mara nyingi kwenye mikoa ambayo haina timu ligi kuu, au Ina timu chache kwenye madaraja ya juu
TFF ilishatoa ufafanuzi kuhusu fainali za FA kupelekwa mikoani, lengo ni kuhamasisha michezo kwenye mikoa ambayo ipo nyuma kimpira, pia ni kwa ajili ya maendeleo ya viwanja ,maana sehemu ambayo fainali ya FA hupangwa ukarabati wa viwanja hufanyika
 
Kwa nini Kombe la Dunia lilipelekwa Qatar, Japan/South Korea, USA, South Africa badala ya kila siku kufanyikia kwa magwiji wa mpira duniani kama Brazil, German na France?
 
Wakuu, leo nilijipa muda wa kupitia baadhi ya makala na machapisho juu ya hili shindano jipya kabisa Africa (AFL), bahati mbaya sikufanikiwa kukutana na sababu za kwanini Simba na Tanzania kwa ujumla ilichaguliwa kuwa mwenyeji wa ufunguzi wa AFL.

Je FIFA + CAF walitumia vigezo gani kuipa simba wenyeji wa ufunguzi, na sio kwa hizi timu kubwa barani Africa kama
1. Mamelody
2. TP Mazembe
3. Al Ahly
4.Esperence.
Simba hakuwa mwenyeji wa ufunguzi huo bali ni TFF ambaye ndiye mwanachama wa CAF, ambayo pia ni mwanachama wa FIFA.
 
Kama haujui jibu hiki kioja ukichokiandika wewe siyo mtu wa mpira, bora uende kwenye rede.
 
Wakuu, leo nilijipa muda wa kupitia baadhi ya makala na machapisho juu ya hili shindano jipya kabisa Africa (AFL), bahati mbaya sikufanikiwa kukutana na sababu za kwanini Simba na Tanzania kwa ujumla ilichaguliwa kuwa mwenyeji wa ufunguzi wa AFL.

Je FIFA + CAF walitumia vigezo gani kuipa simba wenyeji wa ufunguzi, na sio kwa hizi timu kubwa barani Africa kama
1. Mamelody
2. TP Mazembe
3. Al Ahly
4.Esperence.
FIFA + CAF ni kundi la wasela wasiotaka kutoka madarakani, maana pale wanajitawala na kula zaidi ya urefu wa kamba, hivyo wanajifanya kuwafurahisha kila pande za dunia ili wasikose kura kwenye uchaguzi. Kanuni kuu ni kula sana pesa na hawaingiliwi na mahakama za kiraia, hivyo wamejitengezea ka ufalme kao na vyama vya soka ni mashost wao wakubwa.
**(Nje ya mada) Umeona jitambi la Karia siku hizi?
 
Back
Top Bottom