Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Ulisikia alichosema Raisi wa CAF?
Alikuwa anaongea Kimombo Safi kabisa.
Rudia tena kuisikiliza hotuba yake utaelewa.
Unaweza kumtafuta mkalimani atakuelewesha.
Kiufupi lengo kuu ni kumthamini kila mwanachama hai na mwenye hamasa ya mpira katika nchi zote za Afrika.
Huko kwingine washaiwakilisha sana CAF katika maswala ya Soka
Cha msingi nchi iwe na miundombinu ya Soka yenye viwango vya Kimataifa.
Alikuwa anaongea Kimombo Safi kabisa.
Rudia tena kuisikiliza hotuba yake utaelewa.
Unaweza kumtafuta mkalimani atakuelewesha.
Kiufupi lengo kuu ni kumthamini kila mwanachama hai na mwenye hamasa ya mpira katika nchi zote za Afrika.
Huko kwingine washaiwakilisha sana CAF katika maswala ya Soka
Cha msingi nchi iwe na miundombinu ya Soka yenye viwango vya Kimataifa.