The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
chupa ya maji anamtaka mleta mada anywe maji kwanza.Acha uwongoo bana joto ni kali kunywa maji kwanza.
😀 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chupa ya maji anamtaka mleta mada anywe maji kwanza.Acha uwongoo bana joto ni kali kunywa maji kwanza.
Kwa hiyo Fisi ni mbwa pori na simba ni paka pori?Fisi ni jamii za mbwa na simba ni jamii za paka, hawa wote ni predators hawawezi kupatana.
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Hizo stori mlipiga kijiweni nini mkuu?Wakuu habari za uzima?
Wengi tunafahamu simba ni mfalme wa nyika na anapo unguruma wanyama wengi hukimbia mbali nae.
Kwanini simba huyu mwenye nguvu na spidi hawezi kufua dafu kwa fisi mnyama mdogo kiumbo?
Wataalamu Embu mtupe elimu kama ni kisayansi au kwa namna yoyote tujifunze.
Je tembo na simba nan ni mbabeHizo stori mlipiga kijiweni nini mkuu?
Simba huwa anatisha aisee ni kama shetani hiv halafu akiunguruma pori Zima kimyaWewe humjui simba. mara nyingi ukiona simba katimka mbio, jua pale kuna fisi sio chini ya 10, ila ukiona wawili watatu wanne, simba huwa anahakikisha kaua sio chini ya mmoja. simba akiua mnyama, fisi akitokea huwa anaacha hadi msosi anamfukuza fisi hadi amuue ndio arudi kula. mnyama pekee mwenye uwezo wa kumshinda simba, wa kwanza ni binadamu, na wa pili ni Tiger. na tiger ni kwasababu umbile lake ni kubwa kuliko simba na anajua sana kupigana kuliko hata simba. wengine woote hata tembo, simba huwa analala usingizi mzito anajua hakuna mjinga yeyote atamsogelea. pia, msikie simba kwenye tv tu, ukiwa karibu naye, anatisha kuliko unavyoweza kuongea. ni hatari hasa umkute yule umri mkubwa ni hatari hadi hali ya hewa inabadilika.
Ndio Simba yupo katika jamii ya CATSKwa hiyo Fisi ni mbwa pori na simba ni paka pori?
Ok
Wewe nae sikakuwekea video hapo simba anafukuzwa na fisi au ujaona?Hizo stori mlipiga kijiweni nini mkuu?
Okay fisi pia ni KANIVORA kwahiyo wanapokuwa wengi lazima iwe noma.Wewe nae sikakuwekea video hapo simba anafukuzwa na fisi au ujaona?
Yeye anataka kujua kwann iwe hivo
Simba ni mbabe sababu ni KANIVORAJe tembo na simba nan ni mbabe