Kwanini simba mfalme wa nyika hawezi kumdhuru fisi?

Hizo stori mlipiga kijiweni nini mkuu?
 
Simba huwa anatisha aisee ni kama shetani hiv halafu akiunguruma pori Zima kimya

Sent from my A004SH using JamiiForums mobile app
 
Mnamuongelea simba gani? Huyu wa we zombe haujuii simba la masimba dangote, au mikia fc? Ila kama mnamuongelea myama wa polin hakuna myama mwoga kama simba juz natoka zangu chaka nafika sehem nakuta simba anakuja spid nikasema watishe hao hao hapa umefel mi nikasimama akaja akapiga break nikaanza kumkimbiza yeye alinikimbia kama kuku nikasema rudia tena siku zingine,, dangote we zomb simba la masimba haujui
 
Wewe nae sikakuwekea video hapo simba anafukuzwa na fisi au ujaona?
Yeye anataka kujua kwann iwe hivo
Okay fisi pia ni KANIVORA kwahiyo wanapokuwa wengi lazima iwe noma.

Hata wild dogs pia hukinukisha wakiwa wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…