demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Kama kipindi ambacho Simba haizungumzwi kwenye midomo ya watu na vuombo vya habari basi ni katika kipindi hiki haswa zaidi katika mwaka huu.
Zipi sababu zimepelekea Yanga SC kuwazidi Simba SC kwa mbali zaidi kwenye "media and social attention"?
Kuna habari ambazo sasa zinatolewa na klabu yao lakini zinaonekana hazina mvuto kushinda zile za mahasimu wao wa upande wa pili? Yaani habari inaweza isitrend zaidi ya masaa 4 lakini zile za upande wa pili zina trend siku nzima na siku ya pili raia wana amka nazo.
Kwanini habari za Yanga zinauza zaidi kuliko za upande wa pili?
Hivi leo mchana wameitisha press conference kuhusu udhamini wao mpya wa timu ya vijana, lakini cha ajabu hakuna vyombo vya habari vilivyo jitokeza zaidi ya media house 3 ambazo pia ni za youtube tu. Ayoma TV, Ayo TV na Mpenja TV.
Je pengo la Barbara linajidhihirisha wakati huu? Je viongozi wao waliopo wanashindwa kufanya kazi kwa mikakati kama wenzao wa Yanga SC?
Wafanye nini ili wafikie levels za Yanga SC?
Zipi sababu zimepelekea Yanga SC kuwazidi Simba SC kwa mbali zaidi kwenye "media and social attention"?
Kuna habari ambazo sasa zinatolewa na klabu yao lakini zinaonekana hazina mvuto kushinda zile za mahasimu wao wa upande wa pili? Yaani habari inaweza isitrend zaidi ya masaa 4 lakini zile za upande wa pili zina trend siku nzima na siku ya pili raia wana amka nazo.
Kwanini habari za Yanga zinauza zaidi kuliko za upande wa pili?
Hivi leo mchana wameitisha press conference kuhusu udhamini wao mpya wa timu ya vijana, lakini cha ajabu hakuna vyombo vya habari vilivyo jitokeza zaidi ya media house 3 ambazo pia ni za youtube tu. Ayoma TV, Ayo TV na Mpenja TV.
Je pengo la Barbara linajidhihirisha wakati huu? Je viongozi wao waliopo wanashindwa kufanya kazi kwa mikakati kama wenzao wa Yanga SC?
Wafanye nini ili wafikie levels za Yanga SC?