Kwanini Simba SC inachukiwa na waandishi /wachambuzi?

Nafasi ya barbra ni kama alivyo cenzo huko utopolo hyo nafasi ya msola yupo mangungu ambaye Kachaguliwa km alivyochaguliwa msola ukitaka kujua simba sc Barbra kapatikana vp kawaulize utopolo wenzio cenzo kapatikana vp
Senzo yupo Yanga? ana cheo gani
 
Huyo manara no mshenz Sana cjawahi
Kuona Ila natumia ulemavu alio nao kukandamiza watu kwakua anajua
Hakuna watakachomfanya
 
Kwa hiyo cheo cha CEO kimetoka wapi ndani ya klabu yenu? Hivi Mo ni nani pale?
 
Kwa hiyo cheo cha CEO kimetoka wapi ndani ya klabu yenu? Hivi Mo ni nani pale?
washazunguka sana kwenye media kufafanua hili suala kina magori sidhani hata kama kuna haja ya kuliongelea tena tuwaachie makanjanja wafanye wanavyotaka maana huu ni ujinga sasa
 

Mfumo wa Simba ili uuelewe inabidi usitumie akili, ila ukitumia akili hata za professor hutakaa uuelewe.
 
Iliyokuwa Yanga SC ya Manji na Katibu Mkuu wake Kipindi kile Mwesiga huku Jamal Malinzi nae akiwa ndiyo Rais wa TFF ilifanikiwa sana Kuwateka na Kuwamiliki Waandishi ( Watangazaji ) wengi wa Habari za Michezo nchini Tanzania kwa Ahadi ya kuwa wanawapa Pesa Kuipamba Yanga SC na Kuiminya Simba SC hivyo wengine ( kama huyo Prisca Kishamba ) anatumika 'Kimafia' na GSM pamoja na Yanga SC katika 'Kuifitini:sha' Simba SC akiwa na Pacha na Mnafiki Mwenzake Maulid Kitenge wa Wasafi Media.
 
Walau nimepata jambo hapo. Kwa clouds huwa sijisumbui khs Simba hawanaga zuri hata moja na ni bahati mbaya kwao maana mafanikio ya Simba yanawalazimisha kuisifia. Lakini bado Haji angeweza kummudu kistaarabu na kumsaga kiufundi huku akicheka kuliko kufura namna ile.
 
Mchakato wa Simba haujaisha kisheria. Kinachowasaidia ni kwamba TFF na Viongozi wazito wa serikali wapo upande wao. Mengi yanafumbiwa macho.
Huwezi kuwa na CEO bila kampuni kupitishwa na FCC.
 
Msola na Barbra ni viongozi wa timu wanaoongoza timu mbili zenyewe mifumo miwili tofauti ya kiuongozi usifikilie kilichofanywa juzi 27 Jun kubadili ukumbini basi kila kitu kimebadilika no

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Hoja hizi zilianzishwa na upande kinzani na bado inaendelea japo ni hoja mfu na nyepesi Sana
MO kuendesha Simba ilhali hajalipa imeelezwa several times kuwa ni mapenzi yake haihusiani na 20 Bn na angekuwa hajaweka na hahudumii timu ingekuwa sawa na bado timu si yake anachofanya ni kuhakikisha anapata furaha tu kwa kusaidia Simba inapata ushindi ndio Raha yake
Kinachofanyika yanga wawekezaji watatu ni ugolo usio na mwisho na mtu asiye na hela aongoze timu kuna utofauti hapo

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Mie simba ila manara hapana, ana chuki binafsi na watu na anajivunia kinga aliyo nayo maana ukimuweka kwenye kona tu unaambiwa mbaguzi...
 
Haya mavi mabichi tena ya mtu mzima...
 
Mimi ni mwana simba ila alichoongea Manara anastahili kuomba radhi
Huna unachoelewa mkuu,,
Kuna vita kubwa sana inaendelea chini kwa chini na hawa wachambuzi uchwara machawa wa giesiemu.
Wakija kwenye sportlight wanajifanya so innocent wapate huruma ya watu huko nyuma wanafanya vurugu nyingi kuijujum simba.
Uspotizama kwa makini utaona haji anawaonea ila wafuatulie kwa makini utagundua hawa wat wanatakiwa ku deal nao perpendicular kbsa wajue tunawajua.
Wat kama privadilnho,yusuph mkule,kitenge,edger kibwana,prisca kishamba,abdul dunia,musa mwakisu.
Alaf kuna gift macha na shaffih dauda hawa jamaa wao n simba ila wana matatzo yao binafsi na manala .
Hiko kikundi chote apo juu wanakula hela giesimu kwa kazi moja t propaganda dhidi ya simba.
Na sisi wana simba kindaki ndaki tulobobea kwenye footbal fitna tunawajua ndo maana hatpat nao shida.
Acha manala awanyooshe.
 
Hao waandishi na wachambuzi uchwara wanazuzuka na bahasha za wakwepa kodi HSC.
 
Vipi na yeye akishambuliwa? Si mtakimbilia kumtetea kwa kigezo cha ulemavu wake? Haya masuala ya unazi wa waandishi na watangazaji wa vyombo vya habari kwa timu yameanza leo? Mbona Shafii Dauda, Juma Nkamia, Enock Bwigane, na wengineo wengi! Ni Simba damu!

Lini walitukanwa na kukejeliwa na Wasemaji wa Yanga? Imekuwa dhambi kwa mtu wa kizazi cha miaka ya 80 na 90 kuwa mpenzi wa Yanga au Simba, huku tukiwa tunaujua ukweli, ya kwamba lilikuwa ni jambo la kawaida kabisa kwa watu wa kizazi hicho wengi wao kuegemea upande mmoja wapo kati ya hizi mbili?


Mshaurini Msemaji wenu awe na busara na hekima. Dharau na majivuno vimemjaa kiasi cha kutushangaza wadau wengi wa michezo. Na atambue kuna maisha nje ya Simba! Hivyo aache tabia zake za kitoto. Na kama sababu ni huo ualbino wake, basi ni vyema akatafuta shughuli nyingine za kufanya, badala ya kufanya ule utoto wake kwa watu wazima wenzake na ambao hana msaada wowote ule kwao.

Binafsi sijawahi kuona msemaji wa timu mwenye domo linalonuka kwa maneno machafu na ya kejeli kama hilo Mbulukenge lenu Haji Manara.
 
hawaichukii Simba wanamchukia manara kwa sababu ana akili kubwa na hawamuwezi kila siku ana wa outshine.

ni kama PUtin anavyowafanya waandishi wa Marekani na UK
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…