Kwanini Simeone analipwa Pesa ndefu kuliko makocha wote Ulaya

Kwanini Simeone analipwa Pesa ndefu kuliko makocha wote Ulaya

Abby The Rider

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
462
Reaction score
733
Wakuu

Mimi sio mjuzi sana wa mambo ya mpira ila katika pitapita zangu kwenye mitandao nikakutana na hii Tweet.
Napenda nijue kutoka kwenu wadau wa football hasa European top leagues

Nini kinamfanya Huyu Manager Simeon wa Atletico Madrid alipwe pesa ndefu kiasi hiki kuliko makocha wa team kubwa kama Barcelona au Man City
Ramadhan Kareem
 
Kama ndie anaelipwa zaidi!!

Thaminisha kile alichokifanya kilichompa mkataba, angalia kule alipowatoa atletico de madrid
Kwangu mimi diego simeone "el cholo" ni kocha mzuri baada ya pep
Ila ndio ninaemuhusudu zaidi, kanifanya niipende mnoo atletico madrid. Jamaa yuko vizuri kimbinu ana soka la kuvutia, anajua mbinu za kuzuia na kushambulia pia.

Nje ya mada
Nimekuwa nikitamani kabla ya messi hajaisha kabisa argentina wangejaribu kumpa national team huyu jamaa.
Ama hata hapo baadae wampe huyu kichaa chama lao nadhani hawatojuta.
 
Wakuu

Mimi sio mjuzi sana wa mambo ya mpira ila katika pitapita zangu kwenye mitandao nikakutana na hii Tweet.
Napenda nijue kutoka kwenu wadau wa football hasa European top leagues

Nini kinamfanya Huyu Manager Simeon wa Atletico Madrid alipwe pesa ndefu kiasi hiki kuliko makocha wa team kubwa kama Barcelona au Man City
Ramadhan Kareem

Ni mmoja was makocha wanaoweza ku produce more, from less.
Mpe Guardiola timu au budget hiyo. Hafiki popote.
Simeone ana uwezo mkubwa wa kukuza wachezaji. Wengine wanataka ready made players.
 
Ni mmoja was makocha wanaoweza ku produce more, from less.
Mpe Guardiola timu au budget hiyo. Hafiki popote.
Simeone ana uwezo mkubwa wa kukuza wachezaji. Wengine wanataka ready made players.
Kamkuza nani??
 
Kamkuza nani??
Lucas & Theo hernandez, koke,Gimenez,Correa,Saul,Rodri,Thomas,Costa

Kiufupi hao walikuja na wengine wametoka academy wakiwa wachezaji wa kawaida sana ila leo hii market value yao sio chini ya €60 Million kwa mmoja mmoja na wanagombaniwa ulaya nzima huku wakiweza kuweka upinzani mkubwa kwa Madrid na barca ambao wana bajeti kubwa zaidi kuliko wao.

Na walifanikiwa kubeba makombe 7 kwa kikosi hiko.... Kwahyo Simeone anastahili huo mshahara.
 
Lucas & Theo hernandez, koke,Gimenez,Correa,Saul,Rodri,Thomas,Costa

Kiufupi hao walikuja na wengine wametoka academy wakiwa wachezaji wa kawaida sana ila leo hii market value yao sio chini ya €60 Million kwa mmoja mmoja na wanagombaniwa ulaya nzima huku wakiweza kuweka upinzani mkubwa kwa Madrid na barca ambao wana bajeti kubwa zaidi kuliko wao.

Na walifanikiwa kubeba makombe 7 kwa kikosi hiko.... Kwahyo Simeone anastahili huo mshahara.
Ila hatamsahau CR7 amemzuia kufikia ndoto zake nyingi sana
 
Back
Top Bottom