reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,813
- 21,807
S7 sealed nina uhakika 100% huwezi pata mpya piga ua,
S8 90% hupatii..
S9 zipo ila still kwa k.koo utahangaika sana.
S10 Zipo lkn kutokana na njaa wengi tunanunua second hand au refub, na wafanyabiashara weng tuu, uwezo wa kununua hizo simu zikiwa mpya sealed hawana au km upo wanajua zitawadodeaaa.
Halaf kitu kingne ambacho wateja wa iphone wamepewa advantage lkn weng hawajui
Ni simu zao kuonesha Battery health...
Hii kitu ni point kubwa sanaa kujua hali ya simu.
Kwa faida yako tuu...
Ukikuta iphone ina battery health 90% hio angalau narudia tena ANGALAU imetumika mwaka mmoja, kinyume na hapo ni mwaka na zaidi.
Chini ya hapo labda km ilitumika under heavy duty au ina shida sehemu.
Iphone hizi mpya km haina shida yyt, under normal and legal use, ndani ya mwaka battery health inashuka kwa asilimia 5.
S8 90% hupatii..
S9 zipo ila still kwa k.koo utahangaika sana.
S10 Zipo lkn kutokana na njaa wengi tunanunua second hand au refub, na wafanyabiashara weng tuu, uwezo wa kununua hizo simu zikiwa mpya sealed hawana au km upo wanajua zitawadodeaaa.
Halaf kitu kingne ambacho wateja wa iphone wamepewa advantage lkn weng hawajui
Ni simu zao kuonesha Battery health...
Hii kitu ni point kubwa sanaa kujua hali ya simu.
Kwa faida yako tuu...
Ukikuta iphone ina battery health 90% hio angalau narudia tena ANGALAU imetumika mwaka mmoja, kinyume na hapo ni mwaka na zaidi.
Chini ya hapo labda km ilitumika under heavy duty au ina shida sehemu.
Iphone hizi mpya km haina shida yyt, under normal and legal use, ndani ya mwaka battery health inashuka kwa asilimia 5.