Kwanini sio wewe?


Unaweza kua na magar mke mme majumba na usiwe na furaha
 
Katika kila neema mtu aliyojaliwa basi kuna mtihani wake pia anapitia ambao wewe haufahamu.
Mfano Mungu anaweza akambariki mja wake na mali lakini akamkosesha akili ya kuishi na mwanamke.
Mungu anaweza mjalia mtu na mke mzuri, watoto lakini kipato kikawa cha magumashi.
Mtu anaweza kamjalia mtu na akili za darasani ila akili za maisha akazikosa nk
 
Wenzako wanakula tunda kimasihara ila sio wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…