Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Kabeeeesa loveMiss you more...
Wasichagua siku, kila siku iwe ni siku ya kufanya...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabeeeesa loveMiss you more...
Wasichagua siku, kila siku iwe ni siku ya kufanya...
Inawezekana, ila kama wa kwake posibility ya mwanaume kutoweza kutungisha mimba tunaifuta linabaki suala la either timing au basi tu wakati haujafika ukifika inashika.Hakuna cha timing wala nini.
Waende gospitali tu. Usikute anaogoI a hospitali pengine hata huyo mmoja siyo wa mwanamme anaetaka kuzaa nae sasa, alimbambikia tu.
Hizo zote porojo.Inawezekana, ila kama wa kwake posibility ya mwanaume kutoweza kutungisha mimba tunaifuta linabaki suala la either timing au basi tu wakati haujafika ukifika inashika.
Nafahamu mtu ambaye alikaa miaka 8 ndo wakapata mtoto. Walienda hosp wanaonekana hawana shida ila ndo hivyo, 8 years.
Ikitokea akaenda wakaambiwa hawana tatizo kama huyu unayesema ni porojo? Unashauri nini?Hizo zote porojo.
Waende hospitali.
Njoo nikushikishe alafu "tuna sex" ndio nini? Andika kiswahili tukueleweSiku zangu za kupata hedhi kila mwezi,ni kila tarehe mbili imebadilika sana hedhi yangu, naweza nikapata tarehe moja na huwa naenda siku tano tu.
Sasa basi, mwezi ulopita,yaani mwezi wa tatu, nilipata hedhi yangu tarehe 2 kama kawaida nikakutana na mume wangu tarehe 13 na 14 ya mwezi wa tatu, alikuwa ana safari ivyo tulikuwa pamoja siku hizo mbili tu, by then nilitegemea nitashika ujauzito lakini zilivyopita siku 14 kila nikipima kipimo kinasoma negative,na sio Mara moja tu kila tukikutana tuna sex kwenye tarehe kama hizi kutokana na hefhi yangu.
Tuna sex Tarehe 12, 13, 14, 15... Lakini sishiki mimba. Nina mtoto mmoja nahitaji niongeze wa pili.
Tumieni styles za wanyama kujamiiana 🐒Siku zangu za kupata hedhi kila mwezi,ni kila tarehe mbili imebadilika sana hedhi yangu, naweza nikapata tarehe moja na huwa naenda siku tano tu.
Sasa basi, mwezi ulopita,yaani mwezi wa tatu, nilipata hedhi yangu tarehe 2 kama kawaida nikakutana na mume wangu tarehe 13 na 14 ya mwezi wa tatu, alikuwa ana safari ivyo tulikuwa pamoja siku hizo mbili tu, by then nilitegemea nitashika ujauzito lakini zilivyopita siku 14 kila nikipima kipimo kinasoma negative,na sio Mara moja tu kila tukikutana tuna sex kwenye tarehe kama hizi kutokana na hefhi yangu.
Tuna sex Tarehe 12, 13, 14, 15... Lakini sishiki mimba. Nina mtoto mmoja nahitaji niongeze wa pili.
Hakuna cha timing wala nini.
Waende gospitali tu. Usikute anaogoI a hospitali pengine hata huyo mmoja siyo wa mwanamme anaetaka kuzaa nae sasa, alimbambikia tu.
Hujawahi kuwa na akili kabs ww🤣🤣🤣🤣Muambie mumeo akupelekee moto kils siku, mbona utakamata tyuuh
🤣🤣🙌🏿Badili ID weka Hot Water
Siku zangu za kupata hedhi kila mwezi,ni kila tarehe mbili imebadilika sana hedhi yangu, naweza nikapata tarehe moja na huwa naenda siku tano tu.
Sasa basi, mwezi ulopita,yaani mwezi wa tatu, nilipata hedhi yangu tarehe 2 kama kawaida nikakutana na mume wangu tarehe 13 na 14 ya mwezi wa tatu, alikuwa ana safari ivyo tulikuwa pamoja siku hizo mbili tu, by then nilitegemea nitashika ujauzito lakini zilivyopita siku 14 kila nikipima kipimo kinasoma negative,na sio Mara moja tu kila tukikutana tuna sex kwenye tarehe kama hizi kutokana na hefhi yangu.
Tuna sex Tarehe 12, 13, 14, 15... Lakini sishiki mimba. Nina mtoto mmoja nahitaji niongeze wa pili.
Ana lishe nzuri sasaa? Ukute analishwa slice mbili za mkate...Muambie mumeo akupelekee moto kils siku, mbona utakamata tyuuh
Njoo pmSiku zangu za kupata hedhi kila mwezi,ni kila tarehe mbili imebadilika sana hedhi yangu, naweza nikapata tarehe moja na huwa naenda siku tano tu.
Sasa basi, mwezi ulopita,yaani mwezi wa tatu, nilipata hedhi yangu tarehe 2 kama kawaida nikakutana na mume wangu tarehe 13 na 14 ya mwezi wa tatu, alikuwa ana safari ivyo tulikuwa pamoja siku hizo mbili tu, by then nilitegemea nitashika ujauzito lakini zilivyopita siku 14 kila nikipima kipimo kinasoma negative,na sio Mara moja tu kila tukikutana tuna sex kwenye tarehe kama hizi kutokana na hefhi yangu.
Tuna sex Tarehe 12, 13, 14, 15... Lakini sishiki mimba. Nina mtoto mmoja nahitaji niongeze wa pili.