Kwanini sisi waafrika pekee tuna rangi nyeusi tii, tofauti kabisa na binadamu wa mabara mengine?

asante kwa ufafanuzi wako, japo nimepata swali la kuanzisha uzi mwingne kutokana na ufafanuz wako
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ duh kwahiyo bacteria ndio baba wa viumbe vyote hapa duniani?

Sayansi muda mwingine ina majibu mepesi sana, ok kwahiyo hiyo sio continuous process au? Ingekuwa tumetokana na bacteria kweli kwanini hatuoni matokeo mapya baada ya hao bacteria kujamiiana? Au ndio kama kawaida yenu jibu ni walishapotea kwenye uso wa dunia!

Bora niendelee kubaki kwenye dini ambayo inaniambia binadamu na viumbe wote waliumbwa, nikaonekana mjinga kuliko kuamini kuku,punda na binadamu wametokana na bacteria.
 
naona hapo swala la evolution na natural selection umesoma hujaelewa kabisa yani umetoka mweupe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kweli kazi ipo
mfano mdogo mtu akikuambia wazungu wa marekani wametokana na wazungu wa ulaya unakuja uliza tena mbona wazungu wa ulaya hawajabadilika kuwa wazungu wa marekani.

pia bacteria hajizalishi kwa njia ya sex , hapo kuna stage nyingi nimeruka kutoka bacteria mpaka hizi sell tulizonazo kuna vitu vingi tulianza kuelezea ningekuwa nimetoka nje ya maada . Sayansi ina majibu ya maana kuliko kusema mtu ameumbwa na udongo siku ya sita[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hilo linaeleweka wazungu wa Marekani sababu zilizowapeleka pale hazitofautiani na sababu za Afro-American kuwa pale lakini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ bado kama sisi ni chimbuko la bacteria siwezi amini mkuu, wabongo wanasema kila mtu ashinde mechi zake
 
Hilo linaeleweka wazungu wa Marekani sababu zilizowapeleka pale hazitofautiani na sababu za Afro-American kuwa pale lakini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ bado kama sisi ni chimbuko la bacteria siwezi amini mkuu, wabongo wanasema kila mtu ashinde mechi zake
siwezi kulazimisha ukubali ukweli maana umekubali kubaki kwenye ujinga ambo wewe unaita kushinda mechi
 
Yaap hiyo ndio historia sahihi mzungu Ni mchanganyiko wa malaika waasi na mwafrika. Na Jambo hili Ni kubwa na gumu Sana Ni Vita iliyoanza baada ya kuumbwa Adam, shetani aliapa kukiharibu na kukipoteza kiumbe kilichoitwa mwanadamu na ndio Vita yake na MUNGU.
 
ushahidi kutoka hivyo vitabu please
 
ushahidi please
 
Mbona umekuwa mkali hivyo?
 
India wapo watu weusi kama wanubi
 
Wewe ni mweusi??!!, kama umweusi je umelaanika kwa kuwa kwako mweusi??!, hayo ndio maswali anayouliza huyo jamaa.
Mimi ni Mwafrika mweusi na wala sijalaanika kwa kuwa mweusi. Ila kwa nilivyomsoma ni kwamba yuko misinformed na ni wajibu kwa sisi kumuelewesha.

Ukanda mzima wa tropics (north and south of the equator kwenda tropic of capricorn mpaka tropic of cancer) unao watu weusi. Kwa hivyo wapo wahindi weusi tiii hata kuliko waafrika, hata na wale aborigines wa Australia ni weusi tii. Na wako baadhi ya makabila ya Afrika yanayo watu weupe (southern africa).

Labda angeulizia kwa nini sisi waafrika tuna nywele ngumu na wenzetu wote wana nywele laini hata kama ni weusi. Lakini kwa imani yetu ni kwamba Mwenyezi Mungu aliyeumba mbingu na ardhi ndivyo alivyoamua.
 
umezingua kama ni hali ya hewa inasbabisha tuwe we usi mbona kuna black america wako miaka na miaka hawabadiliki kuwa weusi
Kuna mtu alijibu huko juu, evolution haifanyiki ndani ya miaka 100, yanatokea kwa kiwango Cha taratibu sana.
 


Yupo miss informed ??!!----- huyo ni unmannered person ndio maana hajui namna ya kuuliza maswali, huwezi kuuliza swali unalojitusi wewe mwenyewe na waulizwaji kwa ujumla na hapo hapo unatukuza jamii nyingine against jamii yako kwa msingi wa rangi kana kwamba hiyo jamii nyingine ni angels na sisi ni satans.

Martin Luther king jr, alipata kusema katika moja ya hotuba yake ya kihistoria; " I have a dream my four little childrens will one day live in a nation where they will not be judged by colour of their skin but by the contents of their characters"

The guy have to know It is the content of our characters which matters and not colours of our skins.
 
Brown rangi ya udongo ndio binadamu original .weusi wa kuzidi umesababishwa na eneo tunalo ishi jua Kali πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Wazungu kwao wapi? Au ndio alien [emoji89]?
 
Si kweli mkuu,wapo weusi in Australia,the Aborigines;the so called untouchables of India and the indigenous people of the Oceania. Inaelekea Geography huna mkuu.
 
Kwa hyo mkuu Africa ilitawaliwa na nani? Katika Karne ya 14
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…