Kwanini sisi waafrika pekee tuna rangi nyeusi tii, tofauti kabisa na binadamu wa mabara mengine?

Kwanini sisi waafrika pekee tuna rangi nyeusi tii, tofauti kabisa na binadamu wa mabara mengine?

Mzungu ndio mtu wa mwisho kutembea na kuijua dunia. Nafikiri ndio sababu kuu yeye kuwa mgomvi.
kwa hiyo mweusi alishatembea before ? kama weusi walishaitembelea dunia before weupe ni kipi tulifanya kuonesha kuwa tulikuwa mbele yao kwenye kuutambua ulimwengu huu before wao
 
Mbona umekazania na suala la laana?? Au una majibu yako tayari??
Hakuna laana yoyote
Kwani hakuna laana inaweza kumfanya mtu kuwa mweupe? Au laana lazima awe mweusi? Be proud of your skin. Rangi nyeusi ni extraordinary
siyo kwamba nimeshikilia laana kuwa sababu kuu lakini nafikiri labda neno laana umelichukulia kwa dhana tofauti sana.

lakini pia bado hujajibu majibu ya maswali ambayo mimi nimeuliza.
 
Mimi nasema ni zwazwa na mpumbavu bali Baradhuli mkubwa yule anayeuliza asili yake huku akijidhalilisha kwa kufikiria laana juu ya asili yake huku akijilinganisha na UBORA wa watu wa asili zingine.

Hebu angalia hivi vipande halafu wewe mpuuzi unayemtetea huyo rafiki yako ujaribu ku judge.

I'm touched in this case as I'm a black African, I can't leave such neusence unrefuted.
non-sense ni wewe ambae huwezi kuwa na akili ya kudadisi hata kidogo, zero brain kabisa we
 
Mzee baba swala zima la evolution na natural selection linakupiga chenga sana. Mi naomba niishie hapo.
we jamaa inaonekana unajua vizuri mambo ya human evolution na natural selection, ebu tuchambulie basi haya mabadiliko ya rangi yalitokeaje kulingana na muda wao pia, bila kusahau why rangi nyeusi iko nyuma kwa kila kitu kuanzia civilization, technologies na kuishi kitumwa wakati tumeukalia utajiri
 
Ukiona umefichwa jambo nawewe ukafichika jiulize mara mbili uwezo wako wakufikiri ukoje.Kwasababu tungekua bora kusingekua na haja kusubiri binadamu mwingine aje aaribu historia yetu.Lazima tukubali iko shida kati yetu ili tujue namna yakujirekebisha badala yakukalia tu historia isiyotusaidia jambo lolote.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
very good point
 
Eti "mnaenda wapi nyie watu weusi kutoka kuzimu watumwa mliolaaniwa nyinyi" 🙄😭😭
Nimeyapenda haya maneno, na sidhani kama duniani kuna matusi makubwa zaidi ya haya, narudi kumalizia mada kisha tujadili. UMELETA MADA NZURI SANA MKUU, HONGERA.
 
Eti "mnaenda wapi nyie watu weusi kutoka kuzimu watumwa mliolaaniwa nyinyi" 🙄😭😭
Nimeyapenda haya maneno, na sidhani kama duniani kuna matusi makubwa zaidi ya haya, narudi kumalizia mada kisha tujadili. UMELETA MADA NZURI SANA MKUU, HONGERA.
mkuu sijaelewa imekuwaje uyapende matusi
 
kwa hiyo mweusi alishatembea before ? kama weusi walishaitembelea dunia before weupe ni kipi tulifanya kuonesha kuwa tulikuwa mbele yao kwenye kuutambua ulimwengu huu before wao

Christopher Columbus alipofika West Indies na Amerika aliwapata watu weusi wakiwa mateka wa vita kwenye Indian village, alipouliza ni vipi akajibiwa kuwa Hawa walikamatwa katika Kijiji kingine Cha watu weusi.

Pia aliweza kupata mishale ya dhahabu Kwa jina GANA sawa na alizoziona kule ulaya na west Afrika Kwa jina Hilo Hilo. Ili kuhakikisha usahihi wa mishale hiyo, alirudi nazo ulaya na kufanya chemical analysis confirming their similarities.

Haiti na Dominican republic, Honduras na Mexico zilikuwa na watu weusi according to Colombus own Journals.
Mahindi na pamba zilikuzwa Afrika kabla mzungu kuja nazo which are native to America's.

Lugha zinakaribiana ie Darras in South America na Jarras in West Africa pia ndizi Yana majina sawa nk. Tafuta Dr.Ivan Sertima na Cheikh anta Diop Kwa maelezo zaidi.
 
Christopher Columbus alipofika West Indies na Amerika aliwapata watu weusi wakiwa mateka wa vita kwenye Indian village, alipouliza ni vipi akajibiwa kuwa Hawa walikamatwa katika Kijiji kingine Cha watu weusi. Pia aliweza kupata mishale ya dhahabu Kwa jina GANA sawa na alizoziona kule ulaya na west Afrika Kwa jina Hilo Hilo. Ili kuhakikisha usahihi wa mishale hiyo, alirudi nazo ulaya na kufanya chemical analysis confirming their similarities.
Haiti na Dominican republic, Honduras na Mexico zilikuwa na watu weusi according to Colombus own Journals.
Mahindi na pamba zilikuzwa Afrika kabla mzungu kuja nazo which are native to America's.
Lugha zinakaribiana ie Darras in South America na Jarras in West Africa pia ndizi Yana majina sawa nk. Tafuta Dr.Ivan Sertima na Cheikh anta Diop Kwa maelezo zaidi.
according to columbus mwenyewe anasema "alipofika latin america alikuta wenyeji ni red indies (wahindi wekundu) ambao ndo walikuwa native pale, hakuna mahali amesema wenyeji wa latin america walikuwa weusi, nafikiri wadau watanisapoti kwenye hili.

na pia hata columbus aliporudi ulaya kwenda kuwasimua jinsi ardhi yenye rutuba iliyopo latin america, wazungu wakaenda huko kuanzisha mashamba ya pamba na kahawa, waliwachukua wale red indies wakawa watumwa wa kuwafanyisha kazi mashambani na migodini lakni wale red indies wakawa wanakufa kwa tropical diseases na pia walikuwa hawawezi fanya kazi mda mrefu.

wakaamua waje west africa wakawakuta waafrica (liberia na sierra leone) wakawachukua waafrica kama 28 tu hvi kwenda kuwafanyia majaribio, waafrica hao wakawa wanapga kazi kuliko hata walivyopangiwa, wazungu wakaona hawa ndo wazuri ndo wakaja kuwabeba rasmi kwa pupa na hapo dam nyeusi ikaingia latin america na carribean.
 
non-sense ni wewe ambae huwezi kuwa na akili ya kudadisi hata kidogo, zero brain kabisa we



Unadadisi upumbavu wewe motherfucker !!??.

Unadadisi at the same time you insult and humiliate yourself and your fellow brothers and sisters!!?, that's an insanity so to say.

Huwezi kuwa na akili timamu eti unadadisi kwa kujitusi, lazima utakuwa unavuta bangi au kasumba inayokusumbua kichwani na lazima wewe na huyo mwenzako Muende Mirembe kutibiwa your mental malady.

Hamjui kuhoji asili yenu in a modesty way??!!, ulizeni mfundishwe jinsi ya kuhoji.

Unadai Waafrika weusi tumelaanika, ni wewe uliyelaanika kwa kushindwa kujitambua uafrika wako na huku ukiwapa Ubora watu weupe ukisahau kabisa kwamba na wao katika historia wanayo historia mbaya.

Nitapambana na wewe kwasababu umenitusi hata mimi kwakuwa mimi ni mtu mweusi.
 
according to columbus mwenyewe anasema "alipofika latin america alikuta wenyeji ni red indies (wahindi wekundu) ambao ndo walikuwa native pale, hakuna mahali amesema wenyeji wa latin america walikuwa weusi, nafikiri wadau watanisapoti kwenye hili.

na pia hata columbus aliporudi ulaya kwenda kuwasimua jinsi ardhi yenye rutuba iliyopo latin america, wazungu wakaenda huko kuanzisha mashamba ya pamba na kahawa, waliwachukua wale red indies wakawa watumwa wa kuwafanyisha kazi mashambani na migodini lakni wale red indies wakawa wanakufa kwa tropical diseases na pia walikuwa hawawezi fanya kazi mda mrefu.

wakaamua waje west africa wakawakuta waafrica (liberia na sierra leone) wakawachukua waafrica kama 28 tu hvi kwenda kuwafanyia majaribio, waafrica hao wakawa wanapga kazi kuliko hata walivyopangiwa, wazungu wakaona hawa ndo wazuri ndo wakaja kuwabeba rasmi kwa pupa na hapo dam nyeusi ikaingia latin america na carribean.
Kuna 12 accounts from 12 different explorers including Balboa.

Hebu Tafuta The Olmecs in Mexico, Dr Ivan Sertima from Guyana, Cheikh anta Diop from Senegal, Buchanan. Pia usisahau kuwa Mzungu hawezi weka historia yote wazi kwako itabidi utafute Kwa njia nyingine kmf Nimesema hapo awali pamba na Mahindi zilitoka Americas kabla mzungu kufika Afrika, Jina la ndizi ni sawa hapa Afrika na Kwa South American tribes, cassava /mihogo was introduced in The America's by African Explorers.

Kuna mengi ya kusoma bidii ni Yako.
 
naomba uanze kwa kusoma historia ya mwanadamu wa sasa homo sapiens utaelewa sis tumetokawapi mpaka kufika hapa. Hakuna mwanadamu hapo ulimwengu ambaye asili yake sio afrika.

Mutation na evolution haitokei kwa vizazi vinne au vitano kwa viumbe kama binadamu wazungu walitoka afrika miaka 12000 iliyopita , so mazingira yalipekea kutokea mutation ya gene inayocontrol melanin ikawa inapungua nguvu na chance ya kusurvive kwa watu waliokuwa weupe ikawa kubwa kwasababu sehemu walizokuwa wazungu hakuna jua so weupe waliweza kutengeneza vitamin D nyingi zaidi ya watu weusi waliokuwa huku ulaya . Ndio maana mpaka leo watoto wote ulaya wanapewa dawa ya vitamin D na waafrika wa ulaya wanashauriwa watumie vitamin D sana maana ngozi yao inapunguza uwezo wa kufonza nguvu za kujua kutengeneza vitamin d

kusema iamini sayansi na uokoe namaanisha kuwa sayansi ndio itakuokoa usipate magonjwa uondokane na ujinga na kukuepusha na utapeli mwingi wa huu ulimwengu

Napenda kuwaalika Kiranga Scars kuongezea information pale ambapo hapajatosha.
umezingua kama ni hali ya hewa inasbabisha tuwe we usi mbona kuna black america wako miaka na miaka hawabadiliki kuwa weusi
 
Christopher Columbus alipofika West Indies na Amerika aliwapata watu weusi wakiwa mateka wa vita kwenye Indian village, alipouliza ni vipi akajibiwa kuwa Hawa walikamatwa katika Kijiji kingine Cha watu weusi. Pia aliweza kupata mishale ya dhahabu Kwa jina GANA sawa na alizoziona kule ulaya na west Afrika Kwa jina Hilo Hilo. Ili kuhakikisha usahihi wa mishale hiyo, alirudi nazo ulaya na kufanya chemical analysis confirming their similarities.
Haiti na Dominican republic, Honduras na Mexico zilikuwa na watu weusi according to Colombus own Journals.
Mahindi na pamba zilikuzwa Afrika kabla mzungu kuja nazo which are native to America's.
Lugha zinakaribiana ie Darras in South America na Jarras in West Africa pia ndizi Yana majina sawa nk. Tafuta Dr.Ivan Sertima na Cheikh anta Diop Kwa maelezo zaidi.
Columbus was a mass muderer fraudster
 
umezingua kama ni hali ya hewa inasbabisha tuwe we usi mbona kuna black america wako miaka na miaka hawabadiliki kuwa weusi
Hao black america wameenda marekani miaka 400 iliyopita sasa wazungu walibadilika miaka 12000 iliyopita na ukumbuke hali ya hewa ni tofauti sana ilikua ice age kipindi hiko.

siku ukielewa kuhusu evolution na natural selection utakuja elewa
 
Back
Top Bottom