Kwanini sisi waafrika pekee tuna rangi nyeusi tii, tofauti kabisa na binadamu wa mabara mengine?

Kwanini sisi waafrika pekee tuna rangi nyeusi tii, tofauti kabisa na binadamu wa mabara mengine?

huwa wananukuu kauli ya rais wa zamani wa misri aliyeitwa GAMAL ABEID NASSER, huyu jamaa kipindi vita ya waarabu na wayahudi imepamba moto aliwaambia wayahudi kuwa "hamtokaa hapa (israel) kwa amani kwa sababu mliondoka hapa mkiwa weusi mmerudi mkiwa weupe" kwa hiyo huenda hii ni ashara kwamba wayahudi asilia walikuwa weusi.
The sphinx kabla Napoleon kuharibu pua na mdomo Kwa kutumia mabomu

Screenshot_20211226-111156.png
 
Kwamba ukandaa tunaoishi ni wajua kali ndomana tunakuwa weusi siyo kweli. Vipi kuhusu ndugu zetu weusi wanaoishi ughaibuni, mbona nao bado wanazaa watoto weusi na ukanda ule siyo wa joto kali!!??
Siku hizi evolution pressures zimepungua sababu ya maendeleo. Mfano sayansi ya sasa inasema kuwa watu wanakuwa weupe ili waweze kutengeneza vitamin D. Lakini leo vyakula vyenye vitamini D ni kibao, kama maziwa na samaki.

Hii pia ndiyo sababu waeskimo(Inuits) si weupe kama wazungu licha ya kuwa maeneo yenye baridi zaidi. Hivyo hakuna haja ya kuchange rangi. Hata hivyo muda waliokaa ni mchache sana kwa mabadiliko kutokea.
 
Ingekuwa kweli, basi Inuit na Sami people wa High Arctic wangekuwa weupe kuwaliko wazungu.

Kuna theory mbili. Moja inasema kuwa inuits wanapata mionzi mingi sababu ya reflection ya mwanga kwenye barafu, hilo linafanya wawe wabrown kidogo.

Nyingine inasema kuwa chakula chao kutoka baharini huwapatia vitamini D kwa wingi, hivyo hawana haja ya kuwa na rangi nyeupe ili kuongeza utengenezaji wa vitamini D.
 
Mzee baba swala zima la evolution na natural selection linakupiga chenga sana. Mi naomba niishie hapo.
Hamna kitu kama natural selection ama evolution hapo. Ingekuwa kweli, then mzungu/ ngozi nyeupe hangekuwa hai Kwa kuwa ndio the weakest Kwa human race.

Nitarudia tena, masomo tunafunzwa shuleni ni ya kupumbaza wanafunzi wasiwe na independent thinking na wasiulize maswali zaidi ya Yale wamefunzwa. Je, ni kweli Bantu tulitokea Kongo na kuenea kote?? Kumbuka masomo haya tumeletewa na mzungu...je, Mimi kama mgeni kwako naweza kuaminishia historia ya kwako na utokako??
 
Mzee baba swala zima la evolution na natural selection linakupiga chenga sana. Mi naomba niishie hapo.
Hamna kitu kama natural selection ama evolution hapo. Ingekuwa kweli, then mzungu/ ngozi nyeupe hangekuwa hai Kwa kuwa ndio the weakest Kwa human race.

Nitarudia tena, masomo tunafunzwa shuleni ni ya kupumbaza wanafunzi wasiwe na independent thinking na wasiulize maswali zaidi ya Yale wamefunzwa. Je, ni kweli Bantu tulitokea Kongo na kuenea kote?? Kumbuka masomo haya tumeletewa na mzungu...je, Mimi kama mgeni kwako naweza kuaminishia historia ya kwako na utokako?
Kuna theory mbili. Moja inasema kuwa inuits wanapata mionzi mingi sababu ya reflection ya mwanga kwenye barafu, hilo linafanya wawe wabrown kidogo.

Nyingine inasema kuwa chakula chao kutoka baharini huwapatia vitamini D kwa wingi, hivyo hawana haja ya kuwa na rangi nyeupe ili kuongeza utengenezaji wa vitamini D.
Yakutsk, Norilsk na Murmansk ni mojawapo ya the most northern cities Kwa High Arctic, barafu January to December na hao wazungu Bado weupe hata baada ya kula chakula Cha Inuits.
 
Hamna kitu kama natural selection ama evolution hapo. Ingekuwa kweli, then mzungu/ ngozi nyeupe hangekuwa hai Kwa kuwa ndio the weakest Kwa human race.

Nitarudia tena, masomo tunafunzwa shuleni ni ya kupumbaza wanafunzi wasiwe na independent thinking na wasiulize maswali zaidi ya Yale wamefunzwa. Je, ni kweli Bantu tulitokea Kongo na kuenea kote?? Kumbuka masomo haya tumeletewa na mzungu...je, Mimi kama mgeni kwako naweza kuaminishia historia ya kwako na utokako?

Yakutsk, Norilsk na Murmansk ni mojawapo ya the most northern cities Kwa High Arctic, barafu January to December na hao wazungu Bado weupe hata baada ya kula chakula Cha Inuits.
Hao ni wa slav, warussia waliohamia hivi majuzi. Hii kitu haitokei kwa miaka michache.
 
Rangi ya mwafrika inatokana na mazingira ukandaa tunaoishi ni wajua kali so melalinin inablock uv ili isiharibu seli za ngozi ili tusipate kansa,
kuwa nyuma kimaendeleo hii naiweka katika sehemu mbili kwanza vurumai la ukoloni/utumwa(dini za kigeni) la pili ni sisi waafrika kutotaka kuendelea na misingi yetu ya maisha kuvurugwa mfano hatu mfumo wa kupata viongozi sahihi viongozi wetu ni kama sio washamba wa wazungu/non-african basi wanawatumikia wazungu/non-african.

nimalize kwa kusema , iamini sayansi uokoke
Jua gani waongelea?
Ulishafika India ukaona joto lilivyo kali?
Arabuni je?
 
Mimi wa kwanza!
Ngoja nijaliwa kwa uelewa wangu.
Mbongo {African}siyo mweusi tu bali yeyote anaweza kuwa muafika.
Kuhusu rangi nyeusi isikupe shida ni Nature yenyewe ikumbukwe hili bara linapata jua kamili hivyo kuwa weusi nikwasababu ya ngozi iweze kuhimili miale mibaya ya jua {mawazo yangu}
Halafu bara letu ni zuri kuliko huko unakokusifia sisi hatuna mavimbunga sijui yakutisha, masunami,matetemeko,mavolcano hata kama yapo lakini siyo kama wao.
Pia kuhusu kutawaliwa na weupe ni sawa hii inaitwa kutesa kwa zamu hata sisi tulishawahi kuwatawala ila sema ilifichwa na hao hao kuogopa aibu,
Kuna mtu alikuwa anaitwa Malkia wa Sheba,kuna hawa jamaa Mafarau wa misri,inasemekana walikuwa weusi kabisa na hii ijulikana kupitia ugunduzi wa ile miili kufukuliwa kwenye makabuli huko Cairo na kukuta jamaa ni weusi tii.
Ngoja waje wataalam wakupe mkuu.
Naskia ata waethiopia wali watesa waarabu Sana
 
Hakuna shule, mzungu au mwalimu hapa Afrika atakufunza haya! Ukweli umefichwa mtu mweusi aishi kwa ujinga!

View attachment 2057837

View attachment 2057839

View attachment 2057840

View attachment 2057841

View attachment 2057843
Ukiona umefichwa jambo nawewe ukafichika jiulize mara mbili uwezo wako wakufikiri ukoje.Kwasababu tungekua bora kusingekua na haja kusubiri binadamu mwingine aje aaribu historia yetu.

Lazima tukubali iko shida kati yetu ili tujue namna yakujirekebisha badala yakukalia tu historia isiyotusaidia jambo lolote.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ni hivi ukiona binadamu mwenye ngozi nyeusi popote duniani nje ya bara la afrika jua huyo kizazi chake kilitokea afrika.Kama ambavyo unaona warabu wa kaskazini mwa afrika walivyotokea eneo la mashariki ya kati.Waafrika wote duniani nyumbani kwao ni afrika.uko kwingine walienda tu kwasababu mbalimbali hasa utumwa.ila uko walikoenda kulikua pia na binadamu wa maeneo hayo.Kwahiyo huyo anayekwambia wayahudi walikua weusi ni mwongo.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kivipi. Na wakati ulimwengu ulikua umejaa watu weusi.
 
Nenda kamuulize aliyekupa rangi nyeusi ya ngozi na sio rangi nyeupe ya hao Bwana zako unaowahusudu.

Ungeumbwa funza wa chooni anayekula kinyesi ingekuwa bora kwani usingeuliza such nonsense of yours.

Unauliza upumbavu wa kujidhalilisha halafu unajiona eti nawewe umeuliza!!?
Kama huwezi kujibu kwa hoja kaa utulie ili wenye uwezo wakudadisi nakuja na majibu watusaidie kuliko kutoa majibu ya ovyo kama ulivyofanya.Ni mjinga peke yake ambaye hawezi kujiuliza maswali yanayohusu asili yake.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom