Kwanini sisi waafrika pekee tuna rangi nyeusi tii, tofauti kabisa na binadamu wa mabara mengine?

Kwanini sisi waafrika pekee tuna rangi nyeusi tii, tofauti kabisa na binadamu wa mabara mengine?

UKWELI MCHUNGU

Ukwel uko wazi ni kuwa ukitaka kuelezea asili ya mtu/mwanadamu kuna theory za kisayansi na kiiimani znazojarbu kueleza asili hiyo pamoja na mgawanyiko wa races dunian.

hao viumbe wa rangi zngne yaan wanadamu weupe hawatak ukwel ujulkane ni kuhusu asili ORIGINAL ya maisha ya dunia.

Duni hii ina historia ndefu sana ambayo imeanza tangu zamani sana, kwahiyo hata maisha yalianza zamani sana kabla hata ya hizo dini na theory za uongo hazijaanza.

Mwanzo kabisa kiumbe wa kwanza alikuwa ni Mtu na mtu mwenyewe alikuwa mweus na aliishi ktk bara moja(kabla ya mgawanyiko wa mabara)

Mabara hayo yoote yalkuwa yameungana na afrika, mtu huyo kiumbe aliumbwa kuendana na nature ya mazingira kwa ngozi na DNA yamtu mweusi ili aweze kuishi bila mateso kwa kuvumilia shida za joto,na maradhi mbalimbali.

Baada ya ongezeko la watu dunian, kuliibuka jamii ya Alien tokea mbinguni(fallen Angeles) hawa ndio walishuka na kubadiri maumbo yao kwa tamaa zao ili waonekane kama watu, na baadae walifanikiwa kuanza kuzaa na wanawake weusi ambapo baadae ikachipuka races ya viumbe wa kisasa ama machotara ambao walkuwa na Nusu DNA za mtu mweus na hao alien(malaika).

Mionekano yao na rangi zao zilibeba asili ya laana ya hao wageni tokea anga za juu, ambapo ndyo hao waitwao nephilims ama metis ambao nao walianza kuzaana wao kwa wao na kuleta jamii hiz tuzionazo leo.

Ukwel huu hawapend ujulkane, kumbuka kipind icho dunia ilikuwa sehem yenye ardhi ya bara moja.

Sasa hao wanefil ama unaweza waita wanadamu, lkn sio watu, mtu ni yule mwenye DNA original na mweusi tuu, sasa hao wanadamu kwakuwa Hawakuwa na utu, walianzisha maovu mengi sana, ikiwepo ushoga,usagaji, kuabudu mashetan na vurugu za kila aina, ambapo baadae ndpo kultokea tetemeko lililopelekea mgawanyiko wa mabara,

Na hao watu weupe walikuwa na nia ya kutokomeza kizaz cha mtu mweusi tangu zamani kupitia vita na utumwa, ambapo baadae baada ya falme za wanadamu(watu weupe) kukuwa, walkuwa wakiivami afrika ili kuitetekeza na kuiba mali za afrika.

Hawakuweza kufaulu kwa muda mfupi, mpka pale falme kubwa za afrika kama misri ya watu weusi, ethiopia/kushi, Babilon ama east afrika na wazulu na wa sudan walipokosa nguvu kwa kushindwa kuhimili vita namapigano yaliyodumu kwa miaka mingi na kupelekea afrika kutawalika.

Mnachotakiwa kujuwa ni kuwa afrika ilianza kuvamiwa hata kabla ya hizo historia zenu znavyowadanganya kuwa wakolon walkuja ktk karne ya 14 huo ni uongo.

Maana ktk karne ya14 tyr afrika ilkuwa imeshabomolea miji yake yoote ambayo ilikuwa mikubwa kulko jiji lolote ulijualo ktk kipind cha leo, technologies zilizokuwepo zlkuwa zmeshachakachuliwa sana mpka kufikia karne ya 14, hapa ndiomaana hata historia zenu za uongo znasema wakolon waliikuta afrika ikiwa na watu wakaa uchi na wanaoshinda maporini wasiojua lolote, hiyo ni kwel sababu jamii nyingi zlitawanyila na kukimbia vita il kujikinga na kifo, hiyo ikapelekea hata maendeleo ya kuijenga afria kufa.

Afrika imefanikiwa kutawalika baada ya falme zote kuharibiwa sana na kila kitu kubadilishwa na hapo ndipo ushetan ukaingia ambao ndyo hizo elimu,dini na utandawazi unao waharibu waafrika kila siku.

Ukoloni,vita,njaa na magonjwa hayawez kuisha mpka pale kizazi cha mtu mweupe kipotee chote ama watu weusi dunia nzima watakapoungana na kuifanya afrika kuwa moja na ndipo Ule mwisho utakapo kuja.

Mwisho wa dunia ni kwel upo na hauwezi kuja mpka mwafrika atakapofanikiwa kuijua asili yake na kuurudisha ukuu wake, apo ndipo hata MUUMBA wa kwel ataruhusu mapigo yawashukie hawa wanefili na watesi wetu ambao hushirikiana na baazi ya weusi wenzetu kutuhujumu.

Tafuteni sana elimu, dunia si salama, mtu mweupe si ndugu yako.View attachment 2057050
Nipo kimya tu [emoji120][emoji120] nimekuelewa
 
mambo mengine hua mnayakuza bure tu, binadam kama walivyo viumbe wengine wapo aina tofauti tofauti, mfano kuna simba aina zaidi ya moja, kuna mbwa aina tofauti, paka aina tofauti, kunguru aina tofaut, kuku aina tofauti, na nk... viumbe wote wana madaraja tofauti kulingana na nature ya uumbwaji wao.

wewe mwenyewe mleta mada haupo daraja sawa na wanafamilia wenzako, inshort haiwezekani kushindani na nature.
Yahni wewe [emoji23][emoji23][emoji23] hueleweki [emoji16][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jua gani waongelea?
Ulishafika India ukaona joto lilivyo kali?
Arabuni je?
Shida inakuwa hamuelewi asili ya binadamu hapo ndio mnapokwama unajua binadamu wa asili tofauti na waafrika waliondoka africa mwaka gani , je unajua hao waarabu na wahindi weupe wametokea wapi. Je unajua maana ya natural selection , nini kazi ya melanin.

Shida ya watu mnapenda kubisha bila kuwa na habari and kwasababu umekuja kwa njia ya ubishi na sio kutaka ufafanuzi au kutafuta maarifa naomba nikuache kwenye giza la ujinga
 
Sifahamu, lakini siyo miaka 500 au 1000. Kulingana na evolution, binadamu alitokea miaka 200,000 iliyopita. Hasa inategemea nguvu ya evolution pressure.
Asante kwa kumtoa giza .. shida ya watu hawa wa vitabu vya dini kwasababu miungu yao ni ya miujiza wanategemea kitu kitokee katika sekunde. Wanahisi evolution ni fast process
 
Hamna kitu kama natural selection ama evolution hapo. Ingekuwa kweli, then mzungu/ ngozi nyeupe hangekuwa hai Kwa kuwa ndio the weakest Kwa human race.

Nitarudia tena, masomo tunafunzwa shuleni ni ya kupumbaza wanafunzi wasiwe na independent thinking na wasiulize maswali zaidi ya Yale wamefunzwa. Je, ni kweli Bantu tulitokea Kongo na kuenea kote?? Kumbuka masomo haya tumeletewa na mzungu...je, Mimi kama mgeni kwako naweza kuaminishia historia ya kwako na utokako?

Yakutsk, Norilsk na Murmansk ni mojawapo ya the most northern cities Kwa High Arctic, barafu January to December na hao wazungu Bado weupe hata baada ya kula chakula Cha Inuits.
Ntakujibu baadae nikitulia nikupe fact za natural selection katika level the physical mpaka molecular level
 
Shida inakuwa hamuelewi asili ya binadamu hapo ndio mnapokwama unajua binadamu wa asili tofauti na waafrika waliondoka africa mwaka gani , je unajua hao waarabu na wahindi weupe wametokea wapi. Je unajua maana ya natural selection , nini kazi ya melanin. Shida ya watu mnapenda kubisha bila kuwa na habari and kwasababu umekuja kwa njia ya ubishi na sio kutaka ufafanuzi au kutafuta maarifa naomba nikuache kwenye giza la ujinga
Toka uko, [emoji16][emoji16][emoji23][emoji39][emoji1787][emoji1787] hatuitaji helim yako yakipumbavu. Kuusu kubadirika kutokana na nyani nako unasemaje????
 
Toka uko, [emoji16][emoji16][emoji23][emoji39][emoji1787][emoji1787] hatuitaji helim yako yakipumbavu. Kuusu kubadirika kutokana na nyani nako unasemaje????
Nikitulia ntakueleze sisi hatujatokana na nyani ila tunashare mzee wetu mmoja yani kama sokwe mtu ni binanamu sio mjomba wala mama.

Ntakueleze nikitulia somo la evolution mnaliona kama vile inatokea kwenye mstari kwasababu ya picha ile ya shule.

Chukulia evolution kama mti na matawi tawi letu na tawi la manyani limetokea kwenye tawi kuu ila kila moja limeenda kivyake.

Iamini sayansi uokoke kwenye hii dunia
 
Mimi wa kwanza!
Ngoja nijaliwa kwa uelewa wangu.
Mbongo {African}siyo mweusi tu bali yeyote anaweza kuwa muafika.
Kuhusu rangi nyeusi isikupe shida ni Nature yenyewe ikumbukwe hili bara linapata jua kamili hivyo kuwa weusi nikwasababu ya ngozi iweze kuhimili miale mibaya ya jua {mawazo yangu}
Halafu bara letu ni zuri kuliko huko unakokusifia sisi hatuna mavimbunga sijui yakutisha, masunami,matetemeko,mavolcano hata kama yapo lakini siyo kama wao.
Pia kuhusu kutawaliwa na weupe ni sawa hii inaitwa kutesa kwa zamu hata sisi tulishawahi kuwatawala ila sema ilifichwa na hao hao kuogopa aibu,
Kuna mtu alikuwa anaitwa Malkia wa Sheba,kuna hawa jamaa Mafarau wa misri,inasemekana walikuwa weusi kabisa na hii ijulikana kupitia ugunduzi wa ile miili kufukuliwa kwenye makabuli huko Cairo na kukuta jamaa ni weusi tii.
Ngoja waje wataalam wakupe mkuu.
great thinker
 
Jomba mambo mengine ni uongo wa wazi tu isipokuwa wanatumia sayansi kuhalalisha uongo huo. Wale wazungu na weusi waliokuwa pale Israel ni imposters tu isipokuwa wameweza kuwaamisha watu na stori za DNA kuwa na wao wana asili ya pale. Wazungu wapo wenye nywele nyeusi na nyeupe na hata hawa wakina Netanyahu hawana utofauti wowote wa kimuonekano na wazungu wengine. Walichotakiwa ni kusema ukweli kwamba wao walibadili dini tu miaka ya nyuma wakawa wayahaudi na sio kujifanya wana asili ya pale.

Akili nyepesi tu, ni kundi gani lililowahi kugeuka kutoka race moja kuhamia nyingine ukitoa hawa wahuni wa kizungu na ngozi nyeusi wanaojifanya waisrael. Pale pale Middle East kuna wakurdi ambao wameteswa miaka nenda rudi na ni watu waliotapakaa ukanda mzima ule ila hawajawahi kubadilika kuwa waarabu sasa sijui kwanini unakuwa mwepesi kudanganywa kupitia mgongo wa sayansi?
Wazungu wanaongoza lwa uhuni duniani, kuna muda huwa nawaza, inawezekana hawa jamaa sio binadamu kamili kama sisi.
 
Hakuna kingine zaidi ya laana.Maana tuko nyuma kwa kila kitu,kuanzia uchafu hadi majungu.Nadhani ni Nature yenyewe ndiyo iliyotuchagua hivyo.Ndo maana ata hivyo vizazi vya binadamu weusi walioko uko kwenye mabara mengine yenye binadamu weupe ni matokeo ya waafrika kupelekwa uko na watu weupe kama nguvu kazi.kwahiyo walivyofika walizaana ila bado ustaarabu wao na tabia zao hazitofautiani sana na sisi tuliozaliwa huku afrika.kwahiyo utaona jinsi ambavyo kuna chembechembe flani za tofauti kwenye binadamu mweusi haijalishi kazaliwa wapi.Tatizo ninaloliona ni kwamba inawezekana tuna limit ya uwezo wetu wakufikiri na kutenda tofauti na binadamu wengine.inawezekana tumeumbwa mechenical zaidi tofauti na wengine ndo maana hatusumbui sana vichwa kufanya maboresho ya maisha yetu na gunduzi mbalimbali.Kwa hali hiyo lazima tuzarauliwe kwasababu hatuna jambo lolote kubwa la kujivunia dhidi ya race zingine.zaidi sana tunasubiri wao ndio wafikiri kwa niaba yetu kisha watuelekeze nini cha kufanya.Hapo bado sisi wenyewe kwa wenyewe hatupendani na tunadharauliana.Ata kuongozana tu kistaarabu hatuwezi.Kwahiyo iko shida ndani yetu japo wengi watakataa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

Sasa ndugu yangu watu weusi walio America wanabadilika vip kuwa na ustaarabu wa kizungu wakati asilimia kubwa ya watu wausi huishi na weusi wenzao!

Kwa mfano chukua mtoto ambaye ni Black halafu alelewe na mzungu uone Kama hata fanana tabia na wazungu!...you talk about black, what about Indian, Arab, swedish, Chinese, latin, European and so on....ambao wako America, je umewahi waona life style yao?

Ukienda kule bado hawatofautiani sana na origin place walizotokea. Bado utagundua wana vitabia flan vya asili walipo tokea na hata baadhi ya tamaduni watakua nazo tu
 
Wazungu wanaongoza lwa uhuni duniani, kuna muda huwa nawaza, inawezekana hawa jamaa sio binadamu kamili kama sisi.
Haswa viongozi wao. Huenda viongozi wao wanatumika na the greys (Reptilian Aliens) 😁😁🤔
 
Mimi wa kwanza!
Ngoja nijaliwa kwa uelewa wangu.
Mbongo {African}siyo mweusi tu bali yeyote anaweza kuwa muafika.
Kuhusu rangi nyeusi isikupe shida ni Nature yenyewe ikumbukwe hili bara linapata jua kamili hivyo kuwa weusi nikwasababu ya ngozi iweze kuhimili miale mibaya ya jua {mawazo yangu}
Halafu bara letu ni zuri kuliko huko unakokusifia sisi hatuna mavimbunga sijui yakutisha, masunami,matetemeko,mavolcano hata kama yapo lakini siyo kama wao.
Pia kuhusu kutawaliwa na weupe ni sawa hii inaitwa kutesa kwa zamu hata sisi tulishawahi kuwatawala ila sema ilifichwa na hao hao kuogopa aibu,
Kuna mtu alikuwa anaitwa Malkia wa Sheba,kuna hawa jamaa Mafarau wa misri,inasemekana walikuwa weusi kabisa na hii ijulikana kupitia ugunduzi wa ile miili kufukuliwa kwenye makabuli huko Cairo na kukuta jamaa ni weusi tii.
Ngoja waje wataalam wakupe mkuu.
Australia Kuna jua Kali Sana na watu bado Ni weupe Sana.

Hoja yako naipinga
 
Kama huwezi kujibu kwa hoja kaa utulie ili wenye uwezo wakudadisi nakuja na majibu watusaidie kuliko kutoa majibu ya ovyo kama ulivyofanya.Ni mjinga peke yake ambaye hawezi kujiuliza maswali yanayohusu asili yake.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app


Mimi nasema ni zwazwa na mpumbavu bali Baradhuli mkubwa yule anayeuliza asili yake huku akijidhalilisha kwa kufikiria laana juu ya asili yake huku akijilinganisha na UBORA wa watu wa asili zingine.

Hebu angalia hivi vipande halafu wewe mpuuzi unayemtetea huyo rafiki yako ujaribu ku judge.

I'm touched in this case as I'm a black African, I can't leave such neusence unrefuted.


Nimekaa nimewaza na kufikiri naona kama kuna kitu hakiko sawa kuhusu sisi waafrica.

kitu cha kwanza ni kwanini sisi waafrika pekee tuna rangi nyeusi tii,

Sijichukii kwa sababu mimi mweusi ila najiuliza tu kwanini waafrica pekee ndo weusi ? Alafu pia wakawa wachache kuliko weupe ? Kuna laana gani ilipita hapa ebu nambieni wadau.

asilimia karibu 90 ya kila tunachotumia waafrica kilianza kwanza kugunduliwa na mweupe), kwanini mweusi akawa nyuma sana ? Kuna laana gani hapa ?

why only africans we became very stupid ? Mbona sisi hatukuanza kuwatawala ila wao weupe wakaanza ?

Au ni kweli mungu alitulaani nini sisi weusi ? Au sisi weusi ni uzao wa shetani kama wanavoamini baadhi ya weupe ?
 
kwanini weusi wanadharauliwa, wanadunishwa,wanabaguliwa, kwani kuwa mweusi ni laana gani hapo
Mbona umekazania na suala la laana?? Au una majibu yako tayari??
Hakuna laana yoyote
Kwani hakuna laana inaweza kumfanya mtu kuwa mweupe? Au laana lazima awe mweusi? Be proud of your skin. Rangi nyeusi ni extraordinary
 
Hoja yako ya kwanza kuhusu Weusi Ni hoja ya kijinga kabisa kabisa...

Yani mbugani Swala ajiulize kwanini kwanini sisi tunaliwa sana na Simba?

Yani badala ya kujivunia kuwa uko Unique unaanza kusema Weusi ni laana? Ndugu unakosea sana, tena sana.

Umepewa bara kubwa hili lina kila kitu, nasema kila kitu, post yako ilitakiwa ianze kwenye aya uliyoanza kuzungumzia uduni waaendeleo ya Afrika hapo ungekuwa unaongea vitu vya msingi...
Nimecheka sana walai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti swala ajiulize kwanini naliwa na simba

hata mimi sikuwa namuelewa. Ameshikilia sana suala la laana

Ni kama tayari mtu mwenye majibu ila anahitaji ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom