Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

mimi nachojua hawa wanawake wenye buster kubwa ni kivutio saana cha wanaume wengi maana kila kidume anataka aonje ili ajue ladha ya hiyo turbo v8 ukitaka kujua hili wee angalia mahali wapo group ya wanaume alafu apite demu aliyejazia huko nyuma utaona woote wanageuka kumwangalia hata kama kuna wababu hapo lazima nao wageuke kuangalia huo mzigo uliobwebwa. hii hali inawafanya waoaji wengi kufeel insecure kuwa na mwanamke wa dizain hiyo maana wanahisi wanaume wengine wanammendea.

NB:

Wanawake wenye buster kubwa ndio wanaoongoza kuwa na ALBANUUN FILHAYAT DUNIA tamu ndogo na moto kuliko madem wembamba sasa hii ni kwa mujibu wa taarifa ya kiintelejensia zilizoto mtaani .

Albanuun filhayat dunia
 
hata discharge ya fluid is more common kwa wanawake wanene kilingnsha na wembamba, pia kuchoka mapema wakisha zaa is most likely than portable ones
 
Nikwel bhana maji meng sana alaf mikao ya kuwala migum sana dizain flan unachoka mwenye pil wachaf weng wao coz ya maumbile kua ndan ndan sana wee kiuno kmekatka mala nne alaf ukute dem mviv kuoga balaa ila jaman majiiiiiii yan kama kilikuu vle yapo meng...ni hayo 2u mtakua vmada had mjute kawaida 2u
 
Kumbe unajua kabisa mnaongoza kwa kua vimada kwa waume za watu?? Nani sasa atataka mwanamke wa hivi? Jibu unalo,
 
kama kweli wewe ni mnene hasa ni pm....maana nataka ndoa kabisa hakuna ubabaishaji.....
 
Usijali ndoa hupangwa na mola,ipo cku atakujalia nawe utakuwa miongoni mwa wanandoa.
 
kwani experience yako binafsi inasemaje?

Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?

1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a)Miili yetu imepitwa na wakati,
(b)Labda wanadhani tutashindwa mechi
.

2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a)Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.

NALILETA MEZANI TULIJADILI
.
 
gorgeous african lady mini skirt.jpg

Unene unaouzungumzia ni kama huu au? Kama ndio kuweka ndani inahitaji moyo maana hapo bosi, jirani, viongozi wa sirikali mpaka wa dini, houseboy, mpaka lecturer wanautolea macho huo mzigo!
 
Si kweli kwamba wanene hampendwi na wanaume mimi nikiwa mmojawapo mimi na mwanmke mwembamba tofauti kabisa.
Ila tatizo ni hili wengine miongoni mwenu mnajisikia sana n wanaume wasiku hizi hawatki shobo za kijinga,mana utasikia mwanmke anasemamwanume gani yule hata kwenye kiganja hatoshi kisa yeye mnene halafu wengine mnachagua sna kama vile ninyi ndo waumbji matokeo yake umri unakwenda na hiyo miili yenu ni yakuzeeka haraka ukifikisha miaka 30,utafikiri una miakia 40,halafu hamtaki kuanza maisha nawapenzi wenu mnataka waliokwishatoka kimaisha na ndomana wengi mnakuwa vimada wawaume wa wenzenu.
Chamsingi badili tabia na mjue maisha huanza chini na si juu hata siku moja kwani hata huyo unayemwona leo anacho alikuwa kama huyo mwingine asokuwa nacho leo.
Niseme na hawa wanaosemamabonge ssi wasafi jamani si wote uchafu ni tabibia ya mtu hujaona wembamba wengine hadi wananuka kabisa?
Halafu si wote mabonge ni wazito na siwagum kwa style ila ukikariri kuwa kila mwanamke anaweza staili moj hutawfurahia hawa ila nao wanstaili zao aisee ukiwapatia ni watamu mno,mimi kwangu sitarehe ya mwanamke awe bonge na ------ makubwa mwembamba nitamzingua tu.
 
hahahahahaaa eti "watu wanataka min kabang ww unaleta kabang" jf inaleta raha sana.
 
Afu wanapenda sana kula sijui huwa wanahisi njaa kila wakati? may be waoaji wanaogopa budget kubwa ya msosi.
 
Typa women dont married cuz most are taken for show off... or lust dats y its so damn hard to 'em to put Ring on it.
 
Acheni kutuonea wivu na maumbo yetu ya ukweli. We nani hadi ukosoe kazi ya Muumba? Mwenyewe ana makusudi yake kuniumba hivi. Na mbona wanakimbia kwa hao vimbaombao wanakimbilia kwetu na wakija hawarudi huko ng'o. Loh mwenzenu nimefunga hebu msiniharibie swaum.
 
Back
Top Bottom