Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi nachojua hawa wanawake wenye buster kubwa ni kivutio saana cha wanaume wengi maana kila kidume anataka aonje ili ajue ladha ya hiyo turbo v8 ukitaka kujua hili wee angalia mahali wapo group ya wanaume alafu apite demu aliyejazia huko nyuma utaona woote wanageuka kumwangalia hata kama kuna wababu hapo lazima nao wageuke kuangalia huo mzigo uliobwebwa. hii hali inawafanya waoaji wengi kufeel insecure kuwa na mwanamke wa dizain hiyo maana wanahisi wanaume wengine wanammendea.
NB:
Wanawake wenye buster kubwa ndio wanaoongoza kuwa na ALBANUUN FILHAYAT DUNIA tamu ndogo na moto kuliko madem wembamba sasa hii ni kwa mujibu wa taarifa ya kiintelejensia zilizoto mtaani .
Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?
1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a)Miili yetu imepitwa na wakati,
(b)Labda wanadhani tutashindwa mechi.
2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a)Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.
NALILETA MEZANI TULIJADILI.
View attachment 104092
Unene unaouzungumzia ni kama huu au? Kama ndio kuweka ndani inahitaji moyo maana hapo bosi, jirani, viongozi wa sirikali mpaka wa dini, houseboy, mpaka lecturer wanautolea macho huo mzigo!
View attachment 104092
Unene unaouzungumzia ni kama huu au? Kama ndio kuweka ndani inahitaji moyo maana hapo bosi, jirani, viongozi wa sirikali mpaka wa dini, houseboy, mpaka lecturer wanautolea macho huo mzigo!