Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

Hii mada ni pana sana,jamani v8turbocharge ina raha sana kuiendesha,Ila gharama ya service yake balaa,ukipita nayo mtaani wanaume shingo feni je ukimiliki moja kwa moja! Unakaribisha BP bure.pia wanadai ni rahisi kutumia 0713 hawasumbui.
 

Hii hoja si kweli naomba tutofauteni ukweli ni kwamba wanawake ambao ni wanene wenye maumbo ya kuvutia mara nyingi wanaume huwaepuka sababu ya kuogopa karaha toka kwa watongozaji sababu wana fitish body ambalo waafrika wengi huvutiwa nalo. Tukumbuke kwamba wanawake wenye figure ya kutisha na wanawake weupe hutongozwa zaidi lakini cha kushangaza wale wenye maumbo huwa rahisi kupatikana sijui ni wepesi kugive in sababu ya vishawishi au wamezoea vile toka mashuleni kupapalikiwa kwa wanawake weupe wao pia hutongozwa sana ila wao hujiamini na hawababaishwi kwa haraka kasoro wambulu, wanyaturu, warangi, wanyiramba na baadhi ya Tangaline wale pamoja na weupe wao ni rahisi. Kwa kifupi wanaume wengi tu hawapendi kuoa mke mzuri sana au anayevutia sana sababu ya kuepuka mambo ya kusalitiana kwenye ndoa maana wanawake nao wakitongozwa sana ipo siku baadhi yao watatoa pachuchi sababu ya weakness zao kwahiyo huamua kuwa na vimada wazuri na mke wa kawaida
 
duh too much bana unachambua kihivyo
 
duh too much bana unachambua kihivyo
Hahahaaaa....samahani mkuu. Wanene nawapenda ila nawasema ili wasibweteke. Watu wanene hawana wivu wa kijinga, hawajioni, wengi wapole, wasikivu, wana adabu. Samahani nlipokukwaza mkuu. Mia
 
tatizo la wadada wanene ni mawakala wa DAWASCO pia breki mbupu yaani ka pango la wanyanganyi huinjoi hata kidogo ili ukojoe inabid kuvuta hisia ya demu unayempenda kwa muda mrefu lakini wanene ni shida sana. Pia wengi wao ni wachafu kuanzia usafi wa mwili na nguo pamoja na nguo za ndani. NI SHIDA kwa kweli.
 
Nan anataka mke anayeangaliwa nyuma na kila mtu.
Heshima na aman vinashuka.
Mwishowe utatongozewa hadi na dingi.
 
mbona wengine ndo tunapenda hiyo "migari mikubwa-matandamu". vimodo a.k.a portable-mwachie ALY KIBA.
 
kwanza mjitaidi kuwa wasafi alafu tafuteni dawa za kuondoka lile povu kule chini yaani inakuwa kama vile unafua ukimaliza kula mambo kitanda chote kimejaa maji ya mapovu...Nimekasirika mno
 

Duh!!!,umetisha.
 
Wanaume wanaogopa vingi sana. Pamoja na hizo sababu tajwa hapo juu kuna hizi pia,
Kununua kitanda kikubwa, kuchekwa, kuogopa mwanamke bonge kuzeeka haraka, harufu mbaya kutokana na maumbile hayo n.k

Wewe jamaaa ni noma kumbe Wanawake Mabonge ndo huwa wanatoa harufu mbaya!!!.
 
Njooni kwangu, me nawapenda kweli, sema kwa vile mnatamaniwa na wengi huwa mnavimba kichwa matokeo yake mnamegwa na kuachwa, jitambueni tupo tunaowapenda
 

Hahaaaaa
 
Hii topic ni kweli 100%, wanaoolewa wengi ni wa kawaida tu wale wanaoringa kwa uzuri na umbo wanaishia kuwa vimada tu
 
Daaah aisee watu mnajua kuchambua maumbo ya wenzenu khaa
 

Yani hapo kwanini waliowengi hawaolewi
1:mke mnene weng; wao hawajiwezi mechi kitandani kingne ikitokea na mwanaume kunenepa bas anakuwa mchepukaji kutafuta me mwembamba ili apenye vizur alizkike,point hawajiwez kitandani,pia wengne hutoa garufu kutokana na kutojali usafi kingne nasikiaga kuwa waga pampuch zao wengi hazina ladha namnisha wana maji meng kias kwamba mara moja tu ashakojoa ziad ya x 5 so hamu ya kufanya tendo inatoweka,hivyo wanaume wanaangalia vitu hivyo.
2;mke wenye makalio;
Moja ya sababu ni muonekano wake kuwavutia wanaume wengi namanisha kila wanaume walio weng hupenda mwanamke wenye makalio hii hutokana na umbo lake na hudhani kuwa analadha zaid,kingne wanawake wenye makalio wanajua kabisa kuwa wanaume wanawapenda na wanawatafuta kuwatumia yani ni kama hamu flani hivi unafanya galafu unatema,so kila mwanaume anaamini kabisa hata akiowa mwenye makalio bas lazina agegedwe sehem ingne kwa sababu ya muuonekano wake kupendwa na wanaume walio weng,ni sawa na kununua kitu cha pekeee ktk eneo moja so weng wao nao watapenda kununua hichohicho
 

Hebu weka picha kidogo tuone
 
Umbile si hoja ila unajiwekaje usafi kauli na kujieshimu mechi si sababu mbona wengi mnakuwa vimada zingatia hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…