Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, na kweli sijawahi sikia mchome, mbaga, mndeme. Ila nadhani hata wachaga na wamasai ni wachache, mara chache sana kusikia Lymo, mushi, saitoti, Mollel... Nadhani kaskazini na mpira kidogo ni changamoto.Kupitia ubini mfano mkude mwamnyeto andambwile nk
Fuatilia timu za coastal Tanga miaka ya nyuma alikuwepo mpare wa LushotoWalichezea timu gani hao kina mzava?
Yupo jacob masawe....namungoHahaha, na kweli sijawahi sikia mchome, mbaga, mndeme. Ila nadhani hata wachaga na wamasai ni wachache, mara chache sana kusikia Lymo, mushi, saitoti, Mollel... Nadhani kaskazini na mpira kidogo ni changamoto.
Mchaga yupo alishawahi kuwa kampteni wa taifa stars , tena bado mzima mpaka leo ni mzee alishawahi kuishi Tnga miaka ya nyuma .Hahaha, na kweli sijawahi sikia mchome, mbaga, mndeme. Ila nadhani hata wachaga na wamasai ni wachache, mara chache sana kusikia Lymo, mushi, saitoti, Mollel... Nadhani kaskazini na mpira kidogo ni changamoto.
mtoto wa 2000 atajuaje hayo. kuna mada humu zikianzishwa unapata kujua umri wa mtu. wengi vijanjaro vimeanza kushabikia mpira 2010 wc ya SA. ukimuambia gwiji sekilojo chambua atatumbua macho.Wapo wakina mzava ...Tafuta huwajui wapare wa lushoto wakina senkondo