Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nassor Mnzavas a.k.a Bafundu alikiwasha sana small simba enzi za kina Karume MusaWalichezea timu gani hao kina mzava?
Wapo Ali Kamwe na Hashim IbweToka nizaliwe sijawahi kuona au kusikia mcheza mpira mkubwa Tanzania ligi kuu ni mpare kwanini?
Naomba serikali ifanye utafiti.
Mnawaonea bure, kule milimani ni ngumu sana kuwa na uwanja wa Mpira thus ni ngumu kutoa vipaji as Mpira hauchezeki mlimanTuangalie wapare og wa same hao wa lushoto ni wasambaa.
Tanga nayo ni Kaskazini.Nadhani kaskazini na mpira kidogo ni changamoto.
Kwamba Gadiel Michael humjui auToka nizaliwe sijawahi kuona au kusikia mcheza mpira mkubwa Tanzania ligi kuu ni mpare kwanini?
Naomba serikali ifanye utafiti.
Samahani, walichezea Yanga.Walikuwepo akina Sekilojo Chambua na Sembuli wote wlichezea Simba.
Sekiloja ni MbughuWalikuwepo akina Sekilojo Chambua na Sembuli wote wlichezea Simba.
Wewe unayejua vimekufikisha wapiHamjui vingi tu,
Hamjui kupenda kwa dhati (demu wa kipare katikati ya kunjunjana anakukumbushia deni lake), hamjui kula vizuri, hamjui kuishi na watu wengine vizuri. Wapare ni kama aliens, wamekuwa wabinafsi kiasi cha kutojua chochote kile.
vimenifikisha hapa kwenye kujibu comment.Wewe unayejua vimekufikisha wapi
Pumbav@Hamjui vingi tu,
Hamjui kupenda kwa dhati (demu wa kipare katikati ya kunjunjana anakukumbushia deni lake), hamjui kula vizuri, hamjui kuishi na watu wengine vizuri. Wapare ni kama aliens, wamekuwa wabinafsi kiasi cha kutojua chochote kile.
Wachaga oyeYupo jacob masawe....namungo
Inawezekana mpira wenyewe ukawa kondomuJiandaeni kumpokea mtoto wangu atakuwa mchezaji bora wa mpira mana ndio nnamuandaa kwa hilo
Nimeambiwa na massawee alikuwepo.Mchaga yupo alishawahi kuwa kampteni wa taifa stars , tena bado mzima mpaka leo ni mzee alishawahi kuishi Tnga miaka ya nyuma .