Azim Sokoine
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 1,443
- 2,643
Kaf
Kafirw**Ufakamie makande halafu uwe mwanasoka bora?
Hapana aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafirw**Ufakamie makande halafu uwe mwanasoka bora?
Hapana aisee.
Mnapenda kesi sana, Mpira hauhitaji maneno.Toka nizaliwe sijawahi kuona au kusikia mcheza mpira mkubwa Tanzania ligi kuu ni mpare kwanini?
Naomba serikali ifanye utafiti.
Mkuu alikuwako Leodgar Paulo Chila Tenga! Mchaga huyo.Hahaha, na kweli sijawahi sikia mchome, mbaga, mndeme. Ila nadhani hata wachaga na wamasai ni wachache, mara chache sana kusikia Lymo, mushi, saitoti, Mollel... Nadhani kaskazini na mpira kidogo ni changamoto.
Ooh. Tenga ni wachaga kweli.Mkuu alikuwako Leodgar Paulo Chila Tenga! Mchaga huyo.
Alikuwa mchezaji maarufu wa Yanga ya wakati ule wa Enzi za Mwalimu! Alikuwa ana cheza no.3.Aliwahi kuwa Mwenyekiti TFF na mjumbe wa CAF kama sikusahau.
mnacho jua kupika makande tuToka nizaliwe sijawahi kuona au kusikia mcheza mpira mkubwa Tanzania ligi kuu ni mpare kwanini?
Naomba serikali ifanye utafiti.
Mdhuti uuHamjui vingi tu,
Hamjui kupenda kwa dhati (demu wa kipare katikati ya kunjunjana anakukumbushia deni lake), hamjui kula vizuri, hamjui kuishi na watu wengine vizuri. Wapare ni kama aliens, wamekuwa wabinafsi kiasi cha kutojua chochote kile.
Hatukulijua hili kuhusu hao jamaa. Mleta mada ambaye anajinasibu kuwa mmoja wao ndio kachokoza na kusema mbona wao Wapare hawajui mpira. Sisi tunatoa ufafanuzi tu wa kile alichokiuliza.Mbona mmeona wapare tu makabila n meng
Mbona mmeona wapare tu makabila n meng
mle meo mdhutiMdhuti uu
Unaota ndoto shtuka utajijolea ohh 😹😹Itabidi mtoto wetu wa kwanza tumuandae kuwa mchezaji, au unasemaje mama watoto wangu mtarajiwa?
Nasikia vijana hawana nguvu kabisa.Gongo zinawamaliza mapema mkiwa wadogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kule ugweno mtacheza mpira juu ya vilindi vya milima au?
Na uo ufupi hamuwezi toa kiungo ya bolu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapare wabahili hata kutumia miguu yao kupiga mpira