Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Jumamosi Man Utd anacheza na Spurs pale Old Trafford, lakini mpaka sasa sijasikia kuwa Man Utd au Spurs wameenda kuweka kambi kujiandaa na mechi hii.
Wachezaji wanakutana kawaida mazoezini wakimaliza kila mtu anarudi kwake.
Kwanini soka la wazungu halina ukanjanja huu wa kuingia kambini?
Je huko kambini wanakoenda Simba na Yanga kujiandaa huwa kuna jambo gani la maana?
Karibuni kwa mjadala huru.
Povu ruksa maana nina nguo chafu za kutosha.
Wachezaji wanakutana kawaida mazoezini wakimaliza kila mtu anarudi kwake.
Kwanini soka la wazungu halina ukanjanja huu wa kuingia kambini?
Je huko kambini wanakoenda Simba na Yanga kujiandaa huwa kuna jambo gani la maana?
Karibuni kwa mjadala huru.
Povu ruksa maana nina nguo chafu za kutosha.