Baba Ndumbwi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 447
- 712
Naweza kuipata dukani hiyo temporary? Yangu imekua kipara (flat)
Ni mentality ya watu kutopenda kuweka akiba, waliweka tyre ya kawaida utaitumia alfu usikumbuke kuweka nyingine kama spare. Wakiweka hicho kidogo kikusaidie tu kufika kwenye utatuzi wa kupata tyre nyingine na hiyo uendelee kuiweka kama spareHuwa nashangaa sana. Kila ninaponunua gari huwa nikiangalia spear tyre lazima nikute kidogoo!
Kwann wajapan wanatuwekea spear tyre huwa viduchu kuliko matairi halisi ya gari?
Maajabu sana.
Nilijaribu kupima tairi halisi halitoshei vizuri kwenye ile sehemu ya tairi. Tairi ni kubwa kidogo kwa hiyo ntashindwa kufunga vizuri buti la mizigoNina mashaka na hilo maana mfanyabiashara analeta bidhaa yenye wahitaji wengi ushauri nunua tyre pana complete pamoja na rim
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile haiitwi spare tyre bali temporarily tyre. Matumizi itumike pale dharula inapojitokeza ili ufike eneo la huduma pia haifai kufungwa mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Oktemporarily ni adverbial au KIELEZI
temporary ni adjective=sifa
mfano kimatumizi matumizi
1) that boy cleared the path temporarily > as he angered for meagre wages
2) that boy cleared the temporary path > for the caravan to pass.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu utakua haupo TZ,Nimevikusanya nikavifunga vote vodogo, machine imetulia barabarani balaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Lile sio Spare Tyre actually ni Temporary Tyre tuuHuwa nashangaa sana. Kila ninaponunua gari huwa nikiangalia spear tyre lazima nikute kidogoo!
Kwann wajapan wanatuwekea spear tyre huwa viduchu kuliko matairi halisi ya gari?
Maajabu sana.
Sio salama sana kua unatumia temporary Tire kama mbadala wa Normal Tires. Nakushauri utafute Tire inayofaa kwenye gari yakoNaweza kuipata dukani hiyo temporary? Yangu imekua kipara (flat)
Tatizo kwenye buti full sized tyre haiwezi kukaa! Nilijaribu nikaona ni kubwa sana. Ila nitafanya maamuzi.Sio salama sana kua unatumia temporary Tire kama mbadala wa Normal Tires. Nakushauri utafute Tire inayofaa kwenye gari yako
Nunua Land Cruiser v8 hutoona hizo takataka [emoji38][emoji38][emoji38]Huwa nashangaa sana. Kila ninaponunua gari huwa nikiangalia spear tyre lazima nikute kidogoo!
Kwann wajapan wanatuwekea spear tyre huwa viduchu kuliko matairi halisi ya gari?
Maajabu sana.
Hichi kipindi kuna watu wanadunda na tairi la dharura mwezi mzima.
Lakini sababu ya uzito na nafasi bado zinaleta mantiki. Kumbuka gari kubwa tairi ya akiba haina tofauti na zile zinazotumika kwenye gari moja kwa moja.
Hizi ndogo zinakua kwenye gari ndogo.
Wazo la kukera nimelipenda pia.
Hata kwa sedan, zipo zenye tyre kubwa, mfano Crown. Nafikiri zenye vi tyre vidogo dogo ni vile vigari vidogo dogo piaMkuu spare tyre hua ndogo kwa magari madogo tu ukiwa na SUV unapata spare tyre kubwa kama kawaida...SUV simaanishi hizi Harrier, Vanguard, Rav 4 etc namaanisha Landcruiser, Nissan Patrol, Pajero etc..
Hii ni kwa mujibu wako ila kitaalam limewekwa dogo na jepesi ili ku accumulate nafasi kidogo kwenye gari, pamoja na uzito wake kuwa mwepesi kuliko rim halisi za gari ili kumaintain fuel economy maana vitu ubebavyo ndani ya gari vina athari kwenye fuel economy ya gari husika.Hili tairi linawekwa dogo katika umbo lile makusudi ili libaki kuwa l spare na si la matumizi ya moja kwa moja.linatumika kwa dharura ili unapoliweka kutokana na muundo wake tofaut na menzake likukere usiendelee kulitumia hivyo ukatengeneze tairi mahsusi.lingekuwa kama la kawaida ingekuwa mtu akishaweka anajisahau tena kutengeneza au kununua lile lenyewe.
So wameweka hivyo kwa makusudi kila unapolitizama unaona kero na show ya gari haipendezi hivyo huwez litumia kwa muda mrefu mwishowe unalitoa.