Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Utaratibu wa CCM ndio huo wa vyama kama Frelimo kule Msumbiji, ni vyama vikongwe.Kwangu mimi mzee Stephen Wassira namuona kama ni muimba mapambio na mtu wa kusifu zaidi bila kuweka hoja mezani. Kila kitu kwake ni propaganda kuliko uhalisia. Kuna mambo mbayo hayahitaji propaganda zaidi yanahitaji kusemewa ukweli, kwa mfano kwenye suala la utekwaji wa watu katibu mkuu mheshimiwa Emmanuel Nchimbi aliongea ukweli na kutibu majeraha ya baadhi ya waathirika lakini msimamo wa mzee Wassira ulikuwa hakuna watu wanao potea ama kutekwa.
Kwa mambo mengi ikiwemo umri wake wa miaka 80 sidhani kama ataweza kufiti kwenye siasa za kisasa ambapo ukosoaji ni mkubwa kuliko kukubaliana na hoja za mwenyekiti bila kuzi challenge, zinahitaji mwanasiasa mvumilivu ambaye anaweza kukubali kukosolewa hadharani kukubali makosa ya kiuongozi na kujisahihisha. Kama mimi ningeombwa kupendekeza angalau ningemchagua mzee Mizengo Pinda ama mama Ana makinda. Sitegemei kuona mapya kutoka kwake bali siasa za minyukano zilizojaa propaganda na kukosa uhalisia, hawezi kukaa meza moja na katibu mkuu lazima watashindwana.
Hela haijai mkuu...Mzee anatamaa sana. Sijui hakujipanga
.......awamu ya sita nayo ikaingia madarakani ...Wasira yupoooooWassira yupo! 🤓🤓🤓
Mwenzio kuchaguliwa wewe unasema hafai.Kwangu mimi mzee Stephen Wassira namuona kama ni muimba mapambio na mtu wa kusifu zaidi bila kuweka hoja mezani. Kila kitu kwake ni propaganda kuliko uhalisia. Kuna mambo mbayo hayahitaji propaganda zaidi yanahitaji kusemewa ukweli, kwa mfano kwenye suala la utekwaji wa watu katibu mkuu mheshimiwa Emmanuel Nchimbi aliongea ukweli na kutibu majeraha ya baadhi ya waathirika lakini msimamo wa mzee Wassira ulikuwa hakuna watu wanao potea ama kutekwa.
Kwa mambo mengi ikiwemo umri wake wa miaka 80 sidhani kama ataweza kufiti kwenye siasa za kisasa ambapo ukosoaji ni mkubwa kuliko kukubaliana na hoja za mwenyekiti bila kuzi challenge, zinahitaji mwanasiasa mvumilivu ambaye anaweza kukubali kukosolewa hadharani kukubali makosa ya kiuongozi na kujisahihisha. Kama mimi ningeombwa kupendekeza angalau ningemchagua mzee Mizengo Pinda ama mama Ana makinda. Sitegemei kuona mapya kutoka kwake bali siasa za minyukano zilizojaa propaganda na kukosa uhalisia, hawezi kukaa meza moja na katibu mkuu lazima watashindwana.
KabisaaaWazee ndio wanazibia ridhiki vijana. Sasa kuanzia leo tunatangaza vita na wazee.
Maana wao ndio kilasiku wanawambia vijana wajiajili. Huku wenyewe wakiomba kuajiriwa hadi chamani.
Ndiyo CCM walivyo huoni hata mfuasi wao Mbowe naye anafuata nyayo.Wazee wangewaachia nafasi hizo vijana, wao wabaki kama washauri tu, ili hata wakiondoka kusiwe na pengo.
Akawa anasahau watu aliwahi muita zelensky …PutinJoe Biden kaongoza taifa la nyuklia akiwa na umri mkubwa
Wazee ndio wanazibia ridhiki vijana. Sasa kuanzia leo tunatangaza vita na wazee.
Maana wao ndio kilasiku wanawambia vijana wajiajili. Huku wenyewe wakiomba kuajiriwa hadi chamani.
Vijana wasomi si ndo hawa kina Ntobi na Yericko?Age, tuna pool ya vijana na wasomi wengi kuliko wakati mwingine. Why watu wale wale miaka yote?
Wewe ni Mwana CCM?Kwangu mimi mzee Stephen Wassira namuona kama ni muimba mapambio na mtu wa kusifu zaidi bila kuweka hoja mezani. Kila kitu kwake ni propaganda kuliko uhalisia.
Kuna mambo mbayo hayahitaji propaganda zaidi yanahitaji kusemewa ukweli, kwa mfano kwenye suala la utekwaji wa watu katibu mkuu mheshimiwa Emmanuel Nchimbi aliongea ukweli na kutibu majeraha ya baadhi ya waathirika lakini msimamo wa mzee Wassira ulikuwa hakuna watu wanao potea ama kutekwa.
Kwa mambo mengi ikiwemo umri wake wa miaka 80 sidhani kama ataweza kufiti kwenye siasa za kisasa ambapo ukosoaji ni mkubwa kuliko kukubaliana na hoja za mwenyekiti bila kuzi challenge, zinahitaji mwanasiasa mvumilivu ambaye anaweza kukubali kukosolewa hadharani kukubali makosa ya kiuongozi na kujisahihisha.
Kama mimi ningeombwa kupendekeza angalau ningemchagua mzee Mizengo Pinda ama mama Ana makinda.
Sitegemei kuona mapya kutoka kwake bali siasa za minyukano zilizojaa propaganda na kukosa uhalisia, hawezi kukaa meza moja na katibu mkuu lazima watashindwana.