Kwanini Stephen Wassira hafai kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM

Kwanini Stephen Wassira hafai kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM

Kawaida makamu wa mwenyekiti wa CCM huwa ni mtu mwenye umri mkubwa, ni mzoefu haiwezekani chama kikajaa vijana watupu lazima iwe ni mchanganyiko wa wazee na vijana.

Na sio CCM peke yao, Frelimo na vyama vingine vingi vya Afrika makamu ni mtu mwenye umri mkubwa, nia ni kuweka uwiano kwenye uongozi.

Huwezi kuyaona haya yanayoendelea CHADEMA ndani ya chama kikongwe cha CCM, chama chenye maturity kinajua ni wakati gani wa kuongea na kwa sababu gani.

Hauwezi kuona majibizano ya kina Wenje, Heche na Lema ndani ya siku moja zinaitishwa press conference tatu au nne. Hakuna mtiririko wa kiheshima.
 
Duh hadi wasira nae anataka ulaji uzeen
 
Kwangu mimi mzee Stephen Wassira namuona kama ni muimba mapambio na mtu wa kusifu zaidi bila kuweka hoja mezani. Kila kitu kwake ni propaganda kuliko uhalisia. Kuna mambo mbayo hayahitaji propaganda zaidi yanahitaji kusemewa ukweli, kwa mfano kwenye suala la utekwaji wa watu katibu mkuu mheshimiwa Emmanuel Nchimbi aliongea ukweli na kutibu majeraha ya baadhi ya waathirika lakini msimamo wa mzee Wassira ulikuwa hakuna watu wanao potea ama kutekwa.

Kwa mambo mengi ikiwemo umri wake wa miaka 80 sidhani kama ataweza kufiti kwenye siasa za kisasa ambapo ukosoaji ni mkubwa kuliko kukubaliana na hoja za mwenyekiti bila kuzi challenge, zinahitaji mwanasiasa mvumilivu ambaye anaweza kukubali kukosolewa hadharani kukubali makosa ya kiuongozi na kujisahihisha. Kama mimi ningeombwa kupendekeza angalau ningemchagua mzee Mizengo Pinda ama mama Ana makinda. Sitegemei kuona mapya kutoka kwake bali siasa za minyukano zilizojaa propaganda na kukosa uhalisia, hawezi kukaa meza moja na katibu mkuu lazima watashindwana.
Utaratibu wa CCM ndio huo wa vyama kama Frelimo kule Msumbiji, ni vyama vikongwe.

Siku zote nafasi ya makamu inakwenda kwa mwanasiasa mkomavu na mzoefu anayekwenda kuweka uwiano mzuri wa kiuongozi.

Samia bado ni kijana, Mwinyi Zanzibar bado ni kijana hivyo uwepo wa Wasira unaweka uwiano sahihi wa kiuongozi, asingeteuliwa huyu mzee angeteuliwa Mizengo Pinda ambaye kiumri ni mzee mwingine akiwa na miaka 78.
 
Daah aisee Wasira tena kazi ipo wanaogopa nini kuwapa damu changa tutegemee nini kutoka kwa huyo Mzee..
 
Wazee ndio wanazibia ridhiki vijana. Sasa kuanzia leo tunatangaza vita na wazee.
Maana wao ndio kilasiku wanawambia vijana wajiajili. Huku wenyewe wakiomba kuajiriwa hadi chamani.
 
Kwangu mimi mzee Stephen Wassira namuona kama ni muimba mapambio na mtu wa kusifu zaidi bila kuweka hoja mezani. Kila kitu kwake ni propaganda kuliko uhalisia. Kuna mambo mbayo hayahitaji propaganda zaidi yanahitaji kusemewa ukweli, kwa mfano kwenye suala la utekwaji wa watu katibu mkuu mheshimiwa Emmanuel Nchimbi aliongea ukweli na kutibu majeraha ya baadhi ya waathirika lakini msimamo wa mzee Wassira ulikuwa hakuna watu wanao potea ama kutekwa.

Kwa mambo mengi ikiwemo umri wake wa miaka 80 sidhani kama ataweza kufiti kwenye siasa za kisasa ambapo ukosoaji ni mkubwa kuliko kukubaliana na hoja za mwenyekiti bila kuzi challenge, zinahitaji mwanasiasa mvumilivu ambaye anaweza kukubali kukosolewa hadharani kukubali makosa ya kiuongozi na kujisahihisha. Kama mimi ningeombwa kupendekeza angalau ningemchagua mzee Mizengo Pinda ama mama Ana makinda. Sitegemei kuona mapya kutoka kwake bali siasa za minyukano zilizojaa propaganda na kukosa uhalisia, hawezi kukaa meza moja na katibu mkuu lazima watashindwana.
Mwenzio kuchaguliwa wewe unasema hafai.
Wewe unafaa wapi???
Mbona raisi hajakuona kufaa kwako.
 
Wazee ndio wanazibia ridhiki vijana. Sasa kuanzia leo tunatangaza vita na wazee.
Maana wao ndio kilasiku wanawambia vijana wajiajili. Huku wenyewe wakiomba kuajiriwa hadi chamani.

kwahiyo vijana walitaka cheo cha makamo?
 
CHakushangaza vijana wa CHADEMA wanalalamika kuhusu teuzi ya CCM.
 
Kwangu mimi mzee Stephen Wassira namuona kama ni muimba mapambio na mtu wa kusifu zaidi bila kuweka hoja mezani. Kila kitu kwake ni propaganda kuliko uhalisia.

Kuna mambo mbayo hayahitaji propaganda zaidi yanahitaji kusemewa ukweli, kwa mfano kwenye suala la utekwaji wa watu katibu mkuu mheshimiwa Emmanuel Nchimbi aliongea ukweli na kutibu majeraha ya baadhi ya waathirika lakini msimamo wa mzee Wassira ulikuwa hakuna watu wanao potea ama kutekwa.

Kwa mambo mengi ikiwemo umri wake wa miaka 80 sidhani kama ataweza kufiti kwenye siasa za kisasa ambapo ukosoaji ni mkubwa kuliko kukubaliana na hoja za mwenyekiti bila kuzi challenge, zinahitaji mwanasiasa mvumilivu ambaye anaweza kukubali kukosolewa hadharani kukubali makosa ya kiuongozi na kujisahihisha.

Kama mimi ningeombwa kupendekeza angalau ningemchagua mzee Mizengo Pinda ama mama Ana makinda.

Sitegemei kuona mapya kutoka kwake bali siasa za minyukano zilizojaa propaganda na kukosa uhalisia, hawezi kukaa meza moja na katibu mkuu lazima watashindwana.
Wewe ni Mwana CCM?
 
Back
Top Bottom