Kwanini supermarkets kubwa zimeshindwa soko la Tanzania na ndogo haziwezi kuwa kubwa?

Kwanini supermarkets kubwa zimeshindwa soko la Tanzania na ndogo haziwezi kuwa kubwa?

AbaMukulu

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2018
Posts
2,053
Reaction score
3,586
Supermarkerts/Retailers wakubwa mashariki na kusini mwa Afrika mara kadhaa zimeshindwa kujiendesha ndani ya Tanzania. Shoprite, Nakumatt na Uchumi ni mifano.

Na supermarkets ndogo/uwezo wa kati zimeshindwa kabisa kuwa kubwa Tanzania na kuvuka mipaka ya Afrika mashariki. Village,Shreejis na shoppers zinakuwa mifano kwenye kipengele hiki. Shoppers licha ya kuwepo toka 1997 lakini ina matawi manne tuu, huku matatu yakiwa DSM.

Ni vitu gani vinasababisha tatizo hili?

Na suluhisho ni lipi?

Inashindikana vipi kutengeneza retailers wakubwa kama Walmart, Costco, and Tesco?

Kuna fungamano kati ya TANZANIA YA VIWANDA na masoko ya bidhaa za viwanda hivyo.

Lakini wapiga debe wa Tanzania ya viwanda hawajaweza kuweka fungamano hilo.
 

Attachments

  • images (8).jpeg
    images (8).jpeg
    8.5 KB · Views: 67
Tatizo kumbwa kwanini hizo supermarket kumbwa zimeshidwa na ndogo hazikuwi....tzn hatuna middle income class kumbwa ambayo inajali quality badala ya quantity yani population yetu kubwa ni (marginal consumers ) cha pili hatuna local manufactured items vingi to import bei inakua juu kwa wateja na shida ya tatu serikali yetu itabiliki anything can happen any time to any body's bussiness
 
Tatizo kumbwa kwanini hizo supermarket kumbwa zimeshidwa na ndogo hazikuwi....tzn hatuna middle income class kumbwa ambayo inajali quality badala ya quantity yani population yetu kubwa ni (marginal consumers ) cha pili hatuna local manufactured items vingi to import bei inakua juu kwa wateja na shida ya tatu serikali yetu itabiliki anything can happen any time to any body's bussiness

So mkuu kazi ihamie kwanza kutengeneza middle class income?
Na ni vipi itengenezwe hiyo class?
 
So mkuu kazi ihamie kwanza kutengeneza middle class income?
Na ni vipi itengenezwe hiyo class?
Kuna sehemu ambapo hilo tabaka la kati lipo, ila ni dogo na dhaifu na wengine fikra zao ni bado za ki peasant lichakua kipato chao ni kizuri lkn bado utawakuta k.koo ananunua nyanya za mafungu zilizo panga chini....sera ya ujaama eti bina damu wote ni sawa na ndugu umetuathiri sana.... it will take time to recover tunachukia watu wenye kipato tunawaita wapiga dili....kwahiyo kupata strong middle class sio zama hizi.
 
Supermarkerts/Retailers wakubwa mashariki na kusini mwa Afrika mara kadhaa zimeshindwa kujiendesha ndani ya Tanzania. Shoprite, Nakumatt na Uchumi ni mifano.



Na supermarkets ndogo/uwezo wa kati zimeshindwa kabisa kuwa kubwa Tanzania na kuvuka mipaka ya Afrika mashariki. Village,Shreejis na shoppers zinakuwa mifano kwenye kipengele hiki. Shoppers licha ya kuwepo toka 1997 lakini ina matawi manne tuu, huku matatu yakiwa DSM.

Ni vitu gani vinasababisha tatizo hili?

Na suluhisho ni lipi?

Inashindikana vipi kutengeneza retailers wakubwa kama Walmart, Costco, and Tesco?

Kuna fungamano kati ya TANZANIA YA VIWANDA na masoko ya bidhaa za viwanda hivyo.

Lakini wapiga debe wa Tanzania ya viwanda hawajaweza kuweka fungamano hilo.


Jibu ni rahisi tu, purchasing power Tanzania ni ndogo sana, yaani watu wenye uwezo wa kununua vitu vingi kwa wakati mmoja ni wachache sana hivyo hawatoshi kuifanya Supermarket itengeneze faida.

Sehemu kubwa ya Watanzania wanamudu kununua vitu gengeni au sokoni!
 
Tatizo kumbwa kwanini hizo supermarket kumbwa zimeshidwa na ndogo hazikuwi....tzn hatuna middle income class kumbwa ambayo inajali quality badala ya quantity yani population yetu kubwa ni (marginal consumers ) cha pili hatuna local manufactured items vingi to import bei inakua juu kwa wateja na shida ya tatu serikali yetu itabiliki anything can happen any time to any body's bussiness
Zote ni hoja nzuri
 
Kuna sehemu ambapo hilo tabaka la kati lipo, ila ni dogo na dhaifu na wengine fikra zao ni bado za ki peasant lichakua kipato chao ni kizuri lkn bado utawakuta k.koo ananunua nyanya za mafungu zilizo panga chini....sera ya ujaama eti bina damu wote ni sawa na ndugu umetuathiri sana.... it will take time to recover tunachukia watu wenye kipato tunawaita wapiga dili....kwahiyo kupata strong middle class sio zama hizi.
Unaniongelea mimi nini? Sijui ni kwanini lakini najiona kama ''nimekinai'' kununua vitu super market! Labda kwa sababu niwahi kuishi kwenye nchi ambazo super markets ni kila kitu. Nikienda sokoni nachagua kuku na kuchinjiwa hapo hapo, kwanini nikanunue aliyekaa kwenye freezer kwa siku kadhaa? Nikienda buchani nanunua nyama ya siku hiyo hiyo, kwanini nikimbizane na nyama za wiki jana kwenye supermarket? Mboga mboga, matunda nk ni hivyo hivyo. Kwa kifupi nikiwa Bongo supermarket nitaenda kununua vitu ambavyo haviko mtaani tu!
 
Jibu ni rahisi tu, purchasing power Tanzania ni ndogo sana, yaani watu wenye uwezo wa kununua vitu vingi kwa wakati mmoja ni wachache sana hivyo hawatoshi kuifanya Supermarket itengeneze faida.

Sehemu kubwa ya Watanzania wanamudu kununua vitu gengeni au sokoni!
Lowclass income
 
Tumeshazoea magenge na machinga huku bongo, kwa kweli kenya wako mbali, hata sabuni u aenda nunua supermarket na hata wa kipato cha chini kabisa akitska kitu anaenda supermarket. Sisi huku ukienda wanadai wa kishua!
 
Unaniongelea mimi nini? Sijui ni kwanini lakini najiona kama ''nimekinai'' kununua vitu super market! Labda kwa sababu niwahi kuishi kwenye nchi ambazo super markets ni kila kitu. Nikienda sokoni nachagua kuku na kuchinjiwa hapo hapo, kwanini nikanunue aliyekaa kwenye freezer kwa siku kadhaa? Nikienda buchani nanunua nyama ya siku hiyo hiyo, kwanini nikimbizane na nyama za wiki jana kwenye supermarket? Mboga mboga, matunda nk ni hivyo hivyo. Kwa kifupi nikiwa Bongo supermarket nitaenda kununua vitu ambavyo haviko mtaani tu!
Mkuu hilo ni sawa, ila sio kila siku kuna nyama ya juzi ata ilioletwa leo inatuzwa kwenye freeza, ni dhana ilio jengeka na tabaka la ma peasant eti supermarket vitu ni vya siku nyingi....pia quality ya bidha ni kitu muhimu katika supermarket, pia kodi inapatikana kuliko gengeni ambao ni informal, pia it's ameeting place kwa tabaka fulani(middle class) security ya gari na mari zako ni muhimu supermarket kuna usafi na mazingira rafiki yakununua vitu vingi kwa wakati mdogo time saving.
 
Supermarkerts/Retailers wakubwa mashariki na kusini mwa Afrika mara kadhaa zimeshindwa kujiendesha ndani ya Tanzania. Shoprite, Nakumatt na Uchumi ni mifano.



Na supermarkets ndogo/uwezo wa kati zimeshindwa kabisa kuwa kubwa Tanzania na kuvuka mipaka ya Afrika mashariki. Village,Shreejis na shoppers zinakuwa mifano kwenye kipengele hiki. Shoppers licha ya kuwepo toka 1997 lakini ina matawi manne tuu, huku matatu yakiwa DSM.

Ni vitu gani vinasababisha tatizo hili?

Na suluhisho ni lipi?

Inashindikana vipi kutengeneza retailers wakubwa kama Walmart, Costco, and Tesco?

Kuna fungamano kati ya TANZANIA YA VIWANDA na masoko ya bidhaa za viwanda hivyo.

Lakini wapiga debe wa Tanzania ya viwanda hawajaweza kuweka fungamano hilo.


Tatizo kubwa na la msingi ambalo wengi hatulioni, Labour. Hakuna familia hapa Tanzania ambayo inamuandaa mtoto kuwa mfanyakazi wa mtu bali zote zina ndoto za watoto wao kufanya kazi serikalini. Matokeo yake, hao wanakwenda kufanyakazi kwenye Supermarket, wanakuwa ni reject ya mfumo na wengine ni wanaosubiri fursa bora zaidi na hivyo huwa wanajishikiza tu.

Pia labour yetu haina integrity. Uaminifu ni ziro. Kwa muwekezaji, ni bora asione hela lakini bidhaa ziwepo. Kwetu hapa ni tofauti kabisa. Hutakuta bidhaa zilizobaki, wala fedha za mauzo. Bali MANENO.
 
Mkuu hilo ni sawa, ila sio kila siku kuna nyama ya juzi ata ilioletwa leo inatuzwa kwenye freeza, ni dhana ilio jengeka na tabaka la ma peasant eti supermarket vitu ni vya siku nyingi....pia quality ya bidha ni kitu muhimu katika supermarket, pia kodi inapatikana kuliko gengeni ambao ni informal, pia it's ameeting place kwa tabaka fulani(middle class) security ya gari na mari zako ni muhimu supermarket kuna usafi na mazingira rafiki yakununua vitu vingi kwa wakati mdogo time saving.
Umesema kweli. Lakini nadhani super market za bongo nazo zimekosa ubunifu. Wangejaribu kuzibadili ziendane na mazingira yetu. Nikipata muda nitaelezea zaidi
 
Kuna sehemu ambapo hilo tabaka la kati lipo, ila ni dogo na dhaifu na wengine fikra zao ni bado za ki peasant lichakua kipato chao ni kizuri lkn bado utawakuta k.koo ananunua nyanya za mafungu zilizo panga chini....sera ya ujaama eti bina damu wote ni sawa na ndugu umetuathiri sana.... it will take time to recover tunachukia watu wenye kipato tunawaita wapiga dili....kwahiyo kupata strong middle class sio zama hizi.
Tatizo una generalize sana alafu it's like you're looking down on our lifestyle and local people.
 
Tatizo una generalize sana alafu it's like you're looking down on our lifestyle and local people.
Mkuu huo ni ukweli wala sio generalization tunaishi katika classless society bila strong middle class hapa kwetu unakuta gengeni wanauza utumbo wakuku vichwa miguu vimekaangwa.....watu wote wananunua regardless ya income zao....lifestyle gani hiyo tajiri kuishi kama chizi.....
 
Mkuu huo ni ukweli wala sio generalization tunaishi katika classless society bila strong middle class hapa kwetu unakuta gengeni wanauza utumbo wakuku vichwa miguu vimekaangwa.....watu wote wananunua regardless ya income zao....lifestyle gani hiyo tajiri kuishi kama chizi.....
Lifestyle ya tajiri isn't defined niga, Bill Gates alikuja bongo, alikula wali maharage, kuna wanaoprefer kuishi high life. You're simply short sighted.
 
Back
Top Bottom