Kwanini Supplemetary na incomplete hazifanyiki kwa pamoja kwenye Vyuo vya Afya hasa ngazi ya Diploma?

Kwanini Supplemetary na incomplete hazifanyiki kwa pamoja kwenye Vyuo vya Afya hasa ngazi ya Diploma?

Dra Maxie

Senior Member
Joined
Dec 9, 2022
Posts
143
Reaction score
216
Kwanini suplementally na incomplete hazifanyiki kwa pamoja? Yaan unakuta mtu hakufanya mitihani kadhaa halafu baadhi akafanya sasa kwa bahati mbaya aka sup moja wapo lakini siku ya second sit anaambiwa afanye tu incomplete halafu Sup mpaka baadae why?

Sababu ni kama kumpotezea mtu muda. Mdogo wangu alipatwa na huo msala na akakata tamaa kabisa.

Yaani mfumo wa hivi vyuo haueleweki kabisa.
 
Kwanini suplementally na incomplete hazifanyiki kwa pamoja yaan unakuta mtu hakufanya mitihani kadhaa afu baadhi akafanya sasa kwa bht mby aka sup moja wapo alofanya lkn siku ya second sit anaambiwa afanye tu incomplete afu sup mpaka baadae why?? Coz ni kma kumpotezea mtu muda
Mdogo wangu alipatwa na huo msala na akakata tamaa kabisa
Yaan mfumo wa hivi vyuo haueleweki kabisa
hakuna cha uelewa, ni kuwa policy yao ya examinations wameipanga hivyo. Unasema kweli ni usumbufu...vyote vingeliweza kufanyika wakati mmoja..........kama ilivyo kwa Universities (sijui kama bado wanaendelea na utaratibu huo)
 
hakuna cha uelewa, ni kuwa policy yao ya examinations wameipanga hivyo. Unasema kweli ni usumbufu...vyote vingeliweza kufanyika wakati mmoja..........kama ilivyo kwa Universities (sijui kama bado wanaendelea na utaratibu huo)
Yeah wanaendelea hadi sasa labda kma ni mwaka huu wamebadilisha
 
Kwanini suplementally na incomplete hazifanyiki kwa pamoja? Yaan unakuta mtu hakufanya mitihani kadhaa halafu baadhi akafanya sasa kwa bahati mbaya aka sup moja wapo lakini siku ya second sit anaambiwa afanye tu incomplete halafu Sup mpaka baadae why?

Sababu ni kama kumpotezea mtu muda. Mdogo wangu alipatwa na huo msala na akakata tamaa kabisa.

Yaani mfumo wa hivi vyuo haueleweki kabisa.
Ili mtu ukae na ufanye mtihan wa wizara kwa first sit lazima ukamilishe components zifuatazo, assignments mbili, cats 2 na uwe above average kwa kila somo amballo utafanyia mtihan ndo utaratibu waliowek wizara. Sasa unapomiss baadhi ya hizo components au kuwa below ya pass marks vinapelekea kushindwa kufanya mtihan wake na sababu nyingine inayopelekea kupata incomplete ni kuchelew kweny chumba cha mtihan ambapo baada ya dkk30 za mwanzo mwanafunz hatoruhusiwa kufany huo mtihan na kuna baadhi ya vyuo wengine wanakuw hawajakamilisha malipo kwa wakati maalumu hii pia inapelekea kupata incomplete.

Nije kweny swali lako Nacte wameweka utaratibu kwamba mwanafunzi kama matokeo yake kuna baadhi ya mitihani hakufanya huwa wanaziba matokeo ya mwanafunzi huyo na kumpa nafasi ya kufanya ile mitihan ambayo hakufanya na ndio matokeo yake yatoke kwa pamoja kama hukukamatwa na sup unaendlea na semister nyingine na kama ulinaswa inakubidi uchill ujiandae na sup zako.

Huu utaratibu uliowekw na nacte ukikaa vibaya unaweza ukapotez hata semister 3 wenzako wanaendelea tu
 
Huku chuo kikuu SUP na incomplete Pamoja na special hufanyika siku moja na watu huwa wanaudhuria tarehe zilezile
Sasa kwa vyuo vya kati inakuwa tofauti na iyo inapoteza malengo ya watu wengi coz mtu atatakiwa akae kitaa mwaka mzima mpka sup
Ili mtu ukae na ufanye mtihan wa wizara kwa first sit lazima ukamilishe components zifuatazo, assignments mbili, cats 2 na uwe above average kwa kila somo amballo utafanyia mtihan ndo utaratibu waliowek wizara. Sasa unapomiss baadhi ya hizo components au kuwa below ya pass marks vinapelekea kushindwa kufanya mtihan wake na sababu nyingine inayopelekea kupata incomplete ni kuchelew kweny chumba cha mtihan ambapo baada ya dkk30 za mwanzo mwanafunz hatoruhusiwa kufany huo mtihan na kuna baadhi ya vyuo wengine wanakuw hawajakamilisha malipo kwa wakati maalumu hii pia inapelekea kupata incomplete.

Nije kweny swali lako Nacte wameweka utaratibu kwamba mwanafunzi kama matokeo yake kuna baadhi ya mitihani hakufanya huwa wanaziba matokeo ya mwanafunzi huyo na kumpa nafasi ya kufanya ile mitihan ambayo hakufanya na ndio matokeo yake yatoke kwa pamoja kama hukukamatwa na sup unaendlea na semister nyingine na kama ulinaswa inakubidi uchill ujiandae na sup zako.

Huu utaratibu uliowekw na nacte ukikaa vibaya unaweza ukapotez hata semister 3 wenzako wanaendelea tu
Mbaya sana
 
Back
Top Bottom