ChaterMaster
JF-Expert Member
- Aug 17, 2009
- 1,623
- 803
Daah Pascal umeamua kuuza chai..Nigeria ina dorminate kutokana na idadi ya watu. Kwa mujibu wa sensa yangu ya kwanza ni sensa ya mwaka 1978 sisi Tanzania tukiwa milioni 19, Nigeria walikuwa milioni 150!. Hivyo success kwenye kila kitu inatokana na idadi ya watu. Wachina wako bilioni 1.5 ndio wanatawala dunia.
Hata kwa Tanzania kati ya watu milioni 50, Wasukuma ni 10 million na ndilo kabila linaloongoza kwa fertility rate, procreation rate, na birth rate hivyo 2099 Wasukuma tutakuwa milioni 50 Watanzania tukiwa milioni 150 kama Nigeria ile.
P
Nigeria mnigeria akitaka hati ya kusafiria haitishwi cheti cha kuzaliwa cha bibi wa mama yake!
Kule hakuna mashtaka ya utakitishaji fedha, sijiu uchochezi wala makosa ya kumtusi rais.
Wenzetu sio aibu kushindwa kwenye box la kura.
Hahaha ila jamaa anatuokota kwelikweli....1978 pop 150!!!! Na wanavyozaliana sahivi si wangekuwa wanaitafuta B...2018= 195,874,740
2017= 190,873,311
2016 =185,960,289
2015 =181,137,448
2014 =176,404,902
2013= 171,765,769
2012 =167,228,767
2011 =162,805,071
2010 =158,503,197
2009= 154,324,933
2008 =150,269,623
2007 =146,339,977
1978 = ml 70.
Fix nyingi saana JF...sasa watu kama 78 walikuwa ml 150 si kwasasa wangeshakuwa million 500..ina maana population growth ni 0.003??
Haha baba hapo kwenye Nigeria tushushe...Nigeria ina dorminate kutokana na idadi ya watu. Kwa mujibu wa sensa yangu ya kwanza ni sensa ya mwaka 1978 sisi Tanzania tukiwa milioni 19, Nigeria walikuwa milioni 150!. Hivyo success kwenye kila kitu inatokana na idadi ya watu. Wachina wako bilioni 1.5 ndio wanatawala dunia.
Hata kwa Tanzania kati ya watu milioni 50, Wasukuma ni 10 million na ndilo kabila linaloongoza kwa fertility rate, procreation rate, na birth rate hivyo 2099 Wasukuma tutakuwa milioni 50 Watanzania tukiwa milioni 150 kama Nigeria ile.
P