Kwanini taifa la Nigeria limetawala sekta nyingi sana na kuwa na masupa star Wengi Sana na mabilionea?

Kwanini taifa la Nigeria limetawala sekta nyingi sana na kuwa na masupa star Wengi Sana na mabilionea?

Nigeria ina dorminate kutokana na idadi ya watu. Kwa mujibu wa sensa yangu ya kwanza ni sensa ya mwaka 1978 sisi Tanzania tukiwa milioni 19, Nigeria walikuwa milioni 150!. Hivyo success kwenye kila kitu inatokana na idadi ya watu. Wachina wako bilioni 1.5 ndio wanatawala dunia.

Hata kwa Tanzania kati ya watu milioni 50, Wasukuma ni 10 million na ndilo kabila linaloongoza kwa fertility rate, procreation rate, na birth rate hivyo 2099 Wasukuma tutakuwa milioni 50 Watanzania tukiwa milioni 150 kama Nigeria ile.

P
Daah Pascal umeamua kuuza chai..
 
Nigeria mnigeria akitaka hati ya kusafiria haitishwi cheti cha kuzaliwa cha bibi wa mama yake!

Kule hakuna mashtaka ya utakitishaji fedha, sijiu uchochezi wala makosa ya kumtusi rais.

Wenzetu sio aibu kushindwa kwenye box la kura.



Tupende weka akiba ya maneno!..
 
2018= 195,874,740

2017= 190,873,311

2016 =185,960,289

2015 =181,137,448

2014 =176,404,902

2013= 171,765,769

2012 =167,228,767

2011 =162,805,071

2010 =158,503,197

2009= 154,324,933

2008 =150,269,623

2007 =146,339,977

1978 = ml 70.

Fix nyingi saana JF...sasa watu kama 78 walikuwa ml 150 si kwasasa wangeshakuwa million 500..ina maana population growth ni 0.003??
Hahaha ila jamaa anatuokota kwelikweli....1978 pop 150!!!! Na wanavyozaliana sahivi si wangekuwa wanaitafuta B...
 
Nigeria ina dorminate kutokana na idadi ya watu. Kwa mujibu wa sensa yangu ya kwanza ni sensa ya mwaka 1978 sisi Tanzania tukiwa milioni 19, Nigeria walikuwa milioni 150!. Hivyo success kwenye kila kitu inatokana na idadi ya watu. Wachina wako bilioni 1.5 ndio wanatawala dunia.

Hata kwa Tanzania kati ya watu milioni 50, Wasukuma ni 10 million na ndilo kabila linaloongoza kwa fertility rate, procreation rate, na birth rate hivyo 2099 Wasukuma tutakuwa milioni 50 Watanzania tukiwa milioni 150 kama Nigeria ile.

P
Haha baba hapo kwenye Nigeria tushushe...
 
Back
Top Bottom