Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,658
Uende nao kwa malinzi.kama ni kuzuri.Hawa Taifa Stars wanatuchafulia sana wanatumia pesa za bure za Wananchi kwa iyo ni bora tuwafungulie kesi ya matumizi mabaya ya pesa zetu ivyo tuwauunganishe tu na boss wao maana huu ni uzembe kazini
Nawakilisha
Juzi ilipoifunga south sifa kedekede imedukuliwa na chipolopolo kashfaTufute timu ya mpira kwa miaka kama mitano ili tujipange maana sasa ni kichwa cha mwendawazimu kila mtu anakinyoa
Au kwa nn sio wazee wa 4GKwa nini waende jela? Kwa nini isiwe na timu nyingine za COSAFA zilizoishia kwenye makundi? Kwa nini isiwe zilizoishia kwenye Robo Fainali? Kwa nini isiwe Stars iliyopigwa 7-0 na Algeria? Kwa nini isiwe Yanga, Azam, Simba na timu nyingine zinazofanya viabya kila kukicha kwenye mashindano ya kimataifa?
Kwa nini zisiwe timu za ndondi, riadha, kikapu, magongo, n.k?
Juzi ilipoifunga south sifa kedekede imedukuliwa na chipolopolo kashfa